Wema afunga ndoa bomani, amficha mume wake

Wema afunga ndoa bomani, amficha mume wake

Kwa maelezo yake kasema Dini ni tofauti yeye na huyo Mume wake, Hajazungumzia kukataa kubadili Dini au Kukubali.

na mimi nilikuwa najaribu kuunganisha dots mkuu
 
Mmh hii ndoa au kiini macho maana hata martin hajapiga pic hata viatu sijui
Maana juzi kusaini ubalozi wa hospital mpya ya macho matangazo kila kona insta mpaka kizunguzungu hili kulikoniiii
 
jamani habari ndio hiyo WEMA kaolewa tayari na anaishi na mume wake kwa sasa lakini MONDS bado anaangaika na wanawake kila siku mara sijui ZARI ambae ana watoto kibao na tunajua hawawezi kufunga ndoa zaidi ya porojo kibao. sasa yeye ndie alimuacha wema lakini mwenzake tayari kaolewa(cha nini wakati wenzako wanawaza watakipata lini) lakini yeye yuko mara kule mara sijui zari white party swaga kibao. sasa hapa kwa upande wako nani mjanja hapa?
 
jamani habari ndio hiyo WEMA kaolewa tayari na anaishi na mume wake kwa sasa lakini MONDS bado anaangaika na wanawake kila siku mara sijui ZARI ambae ana watoto kibao na tunajua hawawezi kufunga ndoa zaidi ya porojo kibao. sasa yeye ndie alimuacha wema lakini mwenzake tayari kaolewa(cha nini wakati wenzako wanawaza watakipata lini) lakini yeye yuko mara kule mara sijui zari white party swaga kibao. sasa hapa kwa upande wako nani mjanja hapa?
lukelo sakafu subiri waje wakuvishe sketi...!
 
Last edited by a moderator:
Hakuna kitu kinachomfurahisha mwanamke duniani kama siku ya HARUSI tena ukiwa na mumeo ukijidai nae kwenye mipicha kila kona!

Umeolewa halafu unamficha mumeo hutaki watu wamjue??hii kali ya mwaka!!ltena ndoa ya kwanza hutaki kumuonyesha mumeo!!ahahhaa.

Kuachwa kubaya sana aisee yaani unaweza ukafanya mambo ya ajabu sana wakati ungekuwa katika hali ya kawaida huwezi kufanya wallahi!!

Wema mdogo wangu huwezi kushindana na wanaume hata siku moja
 
Back
Top Bottom