MENGELENI KWETU
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 9,557
- 24,180
Katika gazeti la leo la Mwanaspoti 29/05 huyu Wema ametoa kauli za ajabu kabisa kuhusu Kajala.
Anasema hatokaa kumsamehe katika maisha yake yote na hata akifa Kajala asisogelee kaburi lake.
Jamani sasa huyu mama roho mbaya anapoelekea anahitaji kusaidiwa na wataalam wa masuala ya jamii/mahusiano.
Unakuwaje na hatred mbaya namna hii kwa binadamu mwenzako...!!?? Ugomvi wenyewe ni wa kuporana mwanaume ambaye ni MUME wa mtu.
Msaidini huyu Wema jamani na nafikiri sasa asiitwe tena hilo jina lake la Wema awe anaitwa CHUKI.
wanapenda kutoa kauli nzito mwisho wa siku zitakuja kuwakosti, kama Kajala katambua makosa yake na kakiri kwanini asisamehewe??
alietoa post kaegemea upande mmoja. Team kajala nn???. Uamuzi wa kusamehe au kutokusamehe ni wa wema. Aliyekosea pia kuomba msamaha au kutokuomba ni uamuzi wake. Bse ktk insta page ya kajala sijaona sehemu kajala naomba msamaha zaidi ya kushukuru kwa kusaidiwa na wema na petitwakuache na kusema iko siku watakua km zamani basi. Mi nadhani haijalishi ni kosa dogo au kubwa kiasi gani but km umekosea sema nimekosea. Na ambae hatakusamehe unamwachia mungu sasa hapo.
Huyu Wema MICHIRIZI hizi team zake za Instagram zinamfanya agombane na kila mtu huyo CK wanaemgombania alikuwa ni mume wa mtu maombi na Sara za mwenye mume ndio laana zinawapata wanadhalilishana mitandaoni na ktk magazeti
Chanzo nini?,au muhogo wa jang'ombe?,ha ha ha wanagombea ndizi wakati mgamba si wao?...