Daudi1
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 14,563
- 22,839
Baada ya kijana kupigwa na jua muda mrefu sasa amepata barafu wa moyo tulizo la moyo anayefanya nikamilike bila yeye bado mimi ni nusu I real love her Angelicious come this way mama wakuone najisikia faraja kuwa na wewe njoo nikuonyeshe nini maana ya mapenzi wala hautajutia uamuzi wako wa kuja kwangu,najua wengi hawatafurahi ila itabidi walazimike tu maana hawana jinsi tena,I LOVE YOU,Jamani Bantu lady ,'valentina' ,njooni mumuone wifi yenu, rafiki yangu pacha wangu Rich Pol ndugu yangu mwenzio nimeondokana na ubachela nawengine ila tafadhali msije mkamwagia kitumbua changu mchanga maana wengine hamna roho nzuri kwa kweli