Daudi1
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 14,563
- 22,839
Aiseeeeeeee!!!!!!!!!!!
Sasa nitakuwa mgeni wa nani mie?
Mmmh mkuu kuna bint alisema anashindwa kulala kwa ajili yako
We usipate shida kabisa
Hah! kumbe alikuwa anakurusha roho tu!
Wow!!!! Asante sana my love najua kuna watu viroho vinawaumaje?????? I love you too Daudi1 mwaaaaaaaa.........
jojina habari gani uliko!
uko mbali mama...
umekwenda kuishi mbali nami, jojina wa mama!!
umekwenda kuishi mbali nami jojina wa mama!!
sipati usingizi nikikumbuka, tulivyoishi mimi nawe jojinaaaaa!!!
siku uliyoondoka.. (mabazazi ndio yalikutorosha!!) uliniacha nalia na majonzi..!
sipati usingizi nikikumbuka, nilivyoishi mimi nawe jojinaa!!
cc; inauma jamani!!
Aiseeeeeeee!!!!!!!!!!!
Sasa nitakuwa mgeni wa nani mie?
So?????????????
Asante sana karibu kwangu
Asante sana karibu kwangu