Wekeza haraka shamba la miti

Medrany

Member
Joined
Mar 30, 2017
Posts
8
Reaction score
2
Wakuu shamba la miti , aina ya pines, Ukubwa Eka 2 miti 900 linauzwa.
Unafuga miti unavuna kwa mkataba miaka (5) tangu mwaka huu 2017.Ardhi unairudisha kwa mmiliki asilia
Miti ilipandwa 2012 hivyo ina miaka 5 mpk feb 2017.
Ipo eneo salama, lisilofikika na moto huku likizungukwa na mashamba ya mahindi.
Shamba lipo kata ya Kifanya, Mkoani Njombe
Bei ni maelewano
Aliyeserious tuwasiliane.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…