Mramba: unanidhalilisha sana na ile kesi, mbona tupo wengi ukaamua kunitosa mimi tu??
Jk: tulia mzee, ile kesi ni ya kuzugia tu ili watanzania waone nachapa kazi, baada ya uchaguzi nakutoa, nimekuchagua wewe kama
kafara maana haukuwa mwanamtandao kipindi kile...