Weka window 11 mpya kwenye PC ambayo not supported!!!

Teknolojia ni Yetu sote

JF-Expert Member
Apr 28, 2020
445
754
WEKA WINDOW 11 MPYA KWENYE PC AMBAYO NOT SUPPORTED !!!

Je unapenda kuinstall window 11 kwenye kifaa chako lakini Changamoto haikubali mean unsupported kutokana na haijakizi vigezo vyote ?

Najua ni moja wapo ya changamoto ya watu wengi sana kutokana na Pc tunazozimiliki ni za kizamani so mambo mengi yapo UN supported.

Ivyo uwapa wakati mgumu watu kuwa nayo kutokana na kuwa hawajakizi mahitaji !! Kama unahitaji kuwa nayo basi fanya hivi

• Kwanza Fanya bootable ya Window kwenye flash yako.
•tumia program kama Rufus , power iso au command prompt Ukimaliza Sasa kufanya bootable.
• Zima au restart PC yako kama kwa ajili ya kupiga window
• Sasa bonyeza f12 , f9 ,Esc kuchagua boot options inategemea na aina gani ya Kompyuta / laptop
• baada ya hapo chagua flash yako yenye window kisha itawaka utaona lugha , time pamoja na keyboard uchague
• Sasa wewe bonyeza shift + f10 utaletewa cmd kisha andika regedit alafu piga Enter

Kisha fanya hivi ingia kwenye ya
HKEY_LOCAL_MACHINE >> SYSTEM alafu >> Setup kisha right click kwenye Setup folder chagua New kisha key option.

Andika keylab kisha press Enter unaweza kuandika " BypassTMPcheck" kisha enter

Right click Sasa kwenye Labconfig (folder) key kisha chagua New alafu chagua DWORD(32- bit) value option

Andika iyo DWORD ni BypassSecureBootCheck kisha Enter Sasa malizia kwa ku double click kwenye iyo iyo BypassSecureBootCheck alafu badili value kutoka 0 kuwa 1 kisha bonyeza Ok button

Kisha utatoka kwenye regedit na kurudi mwanzoni kabisa kwenye kupiga window bonyeza Next kisha install Now utaweza kupiga window 11 kwenye kompyuta yako

Natumai utaweza kuiweka window 11 Sasa kwenye PC yako ambayo not support sio tuachie maoni yako umeweza au lah ?

Teknolojia ni Yetu Sote

Kama ujaelewa unaweza tizama picha zaidi View attachment 2144350View attachment 2144353View attachment 2144355View attachment 2144354View attachment 2144351View attachment 2144352View attachment 2144356View attachment 2144357
delete-windows-11-partion-setup-6.jpg
 
WEKA WINDOW 11 MPYA KWENYE PC AMBAYO NOT SUPPORTED !!!

Je unapenda kuinstall window 11 kwenye kifaa chako lakini Changamoto haikubali mean unsupported kutokana na haijakizi vigezo vyote...
hizi process zote unaweza kuzikwepa kwa kutumia latest release ya rufus, ina option ya kudisable TPM na secure boot kipindi hiyo prog inaiextract windows kuja kwenye flash.
 
WEKA WINDOW 11 MPYA KWENYE PC AMBAYO NOT SUPPORTED !!!

Je unapenda kuinstall window 11 kwenye kifaa chako lakini Changamoto haikubali mean unsupported kutokana na haijakizi vigezo vyote ?

Najua ni moja wapo ya changamoto ya watu wengi sana kutokana na Pc tunazozimiliki ni za kizamani so mambo mengi yapo UN supported.

Ivyo uwapa wakati mgumu watu kuwa nayo kutokana na kuwa hawajakizi mahitaji !! Kama unahitaji kuwa nayo basi fanya hivi

• Kwanza Fanya bootable ya Window kwenye flash yako.
•tumia program kama Rufus , power iso au command prompt Ukimaliza Sasa kufanya bootable.
• Zima au restart PC yako kama kwa ajili ya kupiga window
• Sasa bonyeza f12 , f9 ,Esc kuchagua boot options inategemea na aina gani ya Kompyuta / laptop
• baada ya hapo chagua flash yako yenye window kisha itawaka utaona lugha , time pamoja na keyboard uchague
• Sasa wewe bonyeza shift + f10 utaletewa cmd kisha andika regedit alafu piga Enter

Kisha fanya hivi ingia kwenye ya
HKEY_LOCAL_MACHINE >> SYSTEM alafu >> Setup kisha right click kwenye Setup folder chagua New kisha key option.

Andika keylab kisha press Enter unaweza kuandika " BypassTMPcheck" kisha enter

Right click Sasa kwenye Labconfig (folder) key kisha chagua New alafu chagua DWORD(32- bit) value option

Andika iyo DWORD ni BypassSecureBootCheck kisha Enter Sasa malizia kwa ku double click kwenye iyo iyo BypassSecureBootCheck alafu badili value kutoka 0 kuwa 1 kisha bonyeza Ok button

Kisha utatoka kwenye regedit na kurudi mwanzoni kabisa kwenye kupiga window bonyeza Next kisha install Now utaweza kupiga window 11 kwenye kompyuta yako

Natumai utaweza kuiweka window 11 Sasa kwenye PC yako ambayo not support sio tuachie maoni yako umeweza au lah ?

Teknolojia ni Yetu Sote

Kama ujaelewa unaweza tizama picha zaidi View attachment 2144350View attachment 2144353View attachment 2144355View attachment 2144354View attachment 2144351View attachment 2144352View attachment 2144356View attachment 2144357View attachment 2144358
Tatizo utakalokuja kukumbana nalo hapa ni system yako kuwa slow; kwa sababu itakuwa haiendani na minimum requirement specifications za OS uliyoweka
 
Tatizo utakalokuja kukumbana nalo hapa ni system yako kuwa slow; kwa sababu itakuwa haiendani na minimum requirement specifications za OS uliyoweka
Wala sio Kweli labda yako iwe na ram ndogo lakini unatumia fresh tu bila kuganda Ganda sema changamoto ungesema kuwa kupata update nyingi ndo kupata shida
 
hizi process zote unaweza kuzikwepa kwa kutumia latest release ya rufus, ina option ya kudisable TPM na secure boot kipindi hiyo prog inaiextract windows kuja kwenye flash.
Hivi hii RUFUS na yenyewe ni PIRATES' software? Na kama ni ndiyo ni kwa nini wao MICROSOFT hawajaweza kuwapatia customers wao software ya kuwawezesha kutengeneza BOOTABLE FLASH DISKS, ili wasiwe tegemezi kwenye third party softwares wakati wa kutengeneza flash za aina hiyo?. Of course hata pirates nao ni third party software developers
 
Hivi hii RUFUS na yenyewe ni PIRATES' software? Na kama ni ndiyo ni kwa nini wao MICROSOFT hawajaweza kuwapatia customers wao software ya kuwawezesha kutengeneza BOOTABLE FLASH DISKS, ili wasiwe tegemezi kwenye third party softwares wakati wa kutengeneza flash za aina hiyo?. Of course hata pirates nao ni third party software developers
Microsoft wanayotool ya kuweka windows kwenye flash, external au hata dvd. Ipo kwenye tovuti yao. Kuhusu rufus kuwa pirate software sielewi. Ninachojua huwa naidownload kutoka katika official website yao
 
Microsoft wanayotool ya kuweka windows kwenye flash, external au hata dvd. Ipo kwenye tovuti yao. Kuhusu rufus kuwa pirate software sielewi. Ninachojua huwa naidownload kutoka katika official website yao
Rufus huwa unai-download kutoka kwenye official website ya watu gani; MIROSOFT?
 
Pc inakuwa fasta kuliko w10 sema hutopata feature nyingi zilizo huko ikiwemo kurun android apk
Windows 10 21H2 ipo fasta ndiyo latest version imefanyiwa marekebisho mengi na unaipata free kabisa kupitia official Microsoft site.

Ukiona Windows 10 official release inasumbua tumia Lite versions zilizokuwa modified au ukitaka unaweza kutengeneza version yako mwenyewe ya Windows kulingana na mahitaji yako kwa kupunguza vitu usivyohitaji.
 
Actually ninayo. Nilichotaka kujua ni kama pengine wewe huwa unai-download kutoka kwenye website ya MICROSOFT. Uliposema huwa unai-download kutoka kwenye official website, hukuspecify ni official website gani. Mimi nilidhani kuwa wewe huwa unaipata kutoka kwenye website ya MICROSOFT!
Anhaa sawa mkuu, mimi naitoaga hapo
 
Back
Top Bottom