Njuka II
JF-Expert Member
- Feb 25, 2019
- 400
- 693
Nimeona watu wengi wanatumia PC ambayo inahitaji window activation, sasa nikaona niwafahamishe namna ya kufanya activation.
Ili kuactivate window 10, fuata hizi steps
1. Nenda kwenye search then type "Run" then click
2. Kuna kibox kitatokea, utaandika neno "regedit"
then click OK, click YES
3. Click HKEY_LOCAL_MACHINE
4. Click SYSTEM
5. Click "CurrentControlset"
6. Click "Services"
7. Click "svsvc"
8. Baada ya kuclick "svsvc" katika step no 7, Upande wa kulia utaona kuna list inatokea click "start"
9. Baada ya kuclick start, utaona dialog box imetokea, kwenye Value data andika 4 then click OK
10. Baada ya hapo Restart pc yako, hapo utakuwa tayari umeactivate window yako
Ili kuactivate window 10, fuata hizi steps
1. Nenda kwenye search then type "Run" then click
2. Kuna kibox kitatokea, utaandika neno "regedit"
then click OK, click YES
3. Click HKEY_LOCAL_MACHINE
4. Click SYSTEM
5. Click "CurrentControlset"
6. Click "Services"
7. Click "svsvc"
8. Baada ya kuclick "svsvc" katika step no 7, Upande wa kulia utaona kuna list inatokea click "start"
9. Baada ya kuclick start, utaona dialog box imetokea, kwenye Value data andika 4 then click OK
10. Baada ya hapo Restart pc yako, hapo utakuwa tayari umeactivate window yako