mkuu iyo signature imenifanya na mimi niweke. hakika Mungu anastahili kuwabudiwa.
kwahabari ya picha hiii, selikali imewasahau wananchi wake pamoja na kwamba watu wanahangaika kutafuta maisha, lakini kutoka ni ngumu because the government haina policy ya kusapoti wananchi wake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.