Rangi imetulia fresh sana
Mkuu hii umepiga wew au umeitoa somewhere!
Nimeipiga jioni hiiMkuu hii umepiga wew au umeitoa somewhere!
Hizi picha kama unapiga then unajua.unankumbusha mbali,nlipenda sanaa hiyo mambo ya picha.
Sio musoma hii kwel![]()
Lake victoria
Tukumbushie za kwako hata mbili tatu mkuuHizi picha kama unapiga then unajua.unankumbusha mbali,nlipenda sanaa hiyo mambo ya picha.
Ntaleta usijal za simu.hizi ninazo zenye sura angu tu hapa.but soon nitazileta.Tukumbushie za kwako hata mbili tatu mkuu
ndo penyewe mkuuSio musoma hii kwel
Hii editing imenogesha muonekano
Sasa hapa umetunyima uhondo wa kuona mandhari ya pembeni. Simu/ kamera ungeiweka kwenye portrait mode mkuu