Haya majina mengine ya wajapani mhhhh!!! Hiki sisomi hata bure,
hapa wapi mkuu nimependa mazingira
Dah aisee huyo mtoto ni mkaliiView attachment 767396
Kwa kule mbaaali kuna majani yamependeza sana
Teh teh teh.....
babara za lami zimeshakamilika? barabara ya mohamed trans vipi, ila kwa vumbi hamjambo.Karibu Shy kwetu, Shinyanga ndo manispaa pekee Tz yenye hadhi ya kupewa jiji kwa sasa