multmandalin
JF-Expert Member
- Sep 8, 2012
- 2,034
- 584
Viwaini vya siku hizi bana, stimu ya taaaaaabu ngoja nikandamizie na ka-KILI kwa mbaaaaaali!
Rais Nyerere Akichanganya Vilevi Viwili Tayari Kabisa Kwenda Kumcharaza Viboko Mwanafunzi Wake Mtukutu Aitwae Samuel Sitta Baada Ya Kusababisha Mgomo Wa Wanafunzi Katika Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam Jana Ikulu. ( Picha Na Gentamycine Wa JF )
Rais Nyerere Akichanganya Vilevi Viwili Tayari Kabisa Kwenda Kumcharaza Viboko Mwanafunzi Wake Mtukutu Aitwae Samuel Sitta Baada Ya Kusababisha Mgomo Wa Wanafunzi Katika Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam Jana Ikulu. ( Picha Na Gentamycine Wa JF )
Wahindi Watanzania au Watanzania Wahindi...?.