Mkuu ebu nitafutie uthibitisho wa picha labda moyo wangu utapata amani. Kwani yuko wapi labda tuendelee kumpa hata za daladala na mod wekeni kwenye stick huyu dogo.Mkuu kama sikosei huyu dogo alipewa miguu baada ya picha hii kuonekana nadhani ni mwaka jana
Hii ndiyo imenisikitisha zaidi