Weka bei

Ah la nn lote hilo!! Na parking zenyewe za bongo dah...labda km linawezaruka pia.
 
Inafika ngapi?


We bwana utafiti hivi unajua bara bara za BRT bado hazijaisha? Utaliendesha bara bara za wapi kwa hapa Bongo? Halafu hiyo bei tu weke kwa dolari, yuro, kwacha, randi, madafu ya bongo au?
 
Last edited by a moderator:
We bwana utafiti hivi unajua bara bara za BRT bado hazijaisha? Utaliendesha bara bara za wapi kwa hapa Bongo? Halafu hiyo bei tu weke kwa dolari, yuro, kwacha, randi, madafu ya bongo au?

Mkuu moto2012 litapita tu humuhumu, na bei ni dollar mkuu hatupokei shilling
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…