Vangigula
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 814
- 2,543
Hii ni baada ya kufuatilia trend ya masoko kwa zaidi ya miaka minne mfululizo.
Ni hivi, kuna bonde moja liko kati ya wilaya za Mpwapwa na Kilosa, linaitwa Lumuma. Pale kwa sasa wameanza kuvuna kitunguu maji, na bei kwa gunia kwa sasa ni elfu hamsini (50,000) za kitanzania.
Kama ukinunua magunia 100, utawekeza 5M + maximum ya laki 2 kwa ajili ya storage. Then u nasubiri kwa miezi mitano, mpaka December, ambapo bei kwa gunia moja huwa imeshakaribia, au kufikia shilling laki moja.
(Kwa mwaka jana December 25, gunia lilishafikia 120,000/= kule kule shambani ). Ukivumilia mpaka gunia lifike 110,000/= utakuwa ume offset kiasi kidogo cha vitunguu kitakachopotea wakati umekitunza (kumbuka kitunguu hupoteza maji na kunywea kidogo kidogo kadiri unavyoendelea kukihifadhi ), na utakuwa na uhakika wa 5M kama faida.
Unaweza kununua zaidi ya 100 bags ambalo litakupa faida zaidi. Kwa uhakika wa bei, tembelea masoko yote wanayouza kitunguu, na uwaulize bei zake huwaje kuanzia December mpaka April.
Kizuri, kula na ndugu.
Ni hivi, kuna bonde moja liko kati ya wilaya za Mpwapwa na Kilosa, linaitwa Lumuma. Pale kwa sasa wameanza kuvuna kitunguu maji, na bei kwa gunia kwa sasa ni elfu hamsini (50,000) za kitanzania.
Kama ukinunua magunia 100, utawekeza 5M + maximum ya laki 2 kwa ajili ya storage. Then u nasubiri kwa miezi mitano, mpaka December, ambapo bei kwa gunia moja huwa imeshakaribia, au kufikia shilling laki moja.
(Kwa mwaka jana December 25, gunia lilishafikia 120,000/= kule kule shambani ). Ukivumilia mpaka gunia lifike 110,000/= utakuwa ume offset kiasi kidogo cha vitunguu kitakachopotea wakati umekitunza (kumbuka kitunguu hupoteza maji na kunywea kidogo kidogo kadiri unavyoendelea kukihifadhi ), na utakuwa na uhakika wa 5M kama faida.
Unaweza kununua zaidi ya 100 bags ambalo litakupa faida zaidi. Kwa uhakika wa bei, tembelea masoko yote wanayouza kitunguu, na uwaulize bei zake huwaje kuanzia December mpaka April.
Kizuri, kula na ndugu.