Weekly Analysis

setup zile unazoziona zimekaa poa nyingi ndo zinakula stop loss. mara nyingi setup iliyo clear ni hatari
Mi huwa nazitumia izo weekly set-up mara nyng lkn huwa sina bahati nazo kbx...Nmeamua kudeal na RSI+Stochastic Os. na mara nyng zinanipa faida xn....Juzi jioni nmeingia kwny EUR/USD nkapata pips kama 140+, jana asbh ndo nmetoka kwenye soko
 
hongera ila kwa setup za weekly ni vizuri kuwa na subira ya ku hold na lot iwe ndogo kuweza kuhimili mitikisiko ya up na down
 
hongera ila kwa setup za weekly ni vizuri kuwa na subira ya ku hold na lot iwe ndogo kuweza kuhimili mitikisiko ya up na down
mzee mwenzangu uyo moyo wa kuhold pair zenye vichaa kama EUR/USD, USD/JPY huwa haupo
...nkiingia sokoni natolea macho laptop kama nacheki movie
 
hizo ni pair za kupiga na kukimbia tu yaani uwe una hold EUR/USD unaweza kufa kwa ugonjwa wa moyo.
mzee mwenzangu uyo moyo wa kuhold pair zenye vichaa kama EUR/USD, USD/JPY huwa haupo
...nkiingia sokoni natolea macho laptop kama nacheki movie
 
Week imeisha mbona hamleti mirejesho?
 
Mkuu pips 140 unazijua lakini ??? kwa lot size yako hiyo hapo ingekuwa pips 140 as you said kila position moja ungekuwa na usd 1400
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…