Ab-Titchaz
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 14,631
- 4,225
agigeuka tu anaweza kuwa anaona ikuli ya Obama live bila chenga au ni hii mijicho yangu tu...! Duh!
Ab!
asante sana wangu, real huyu madam is a real model. Kusema ukweli NAMPENDA SANA.
Thank you for putting those pic overhere. Wooh! She is absolutely Cute
Ila wangu kwenye hiyo pic ya mwisho naona muheshimiwa (sijui ni Kibaki) anyway huto mwenye phone agigeuka tu anaweza kuwa anaona ikuli ya Obama live bila chenga au ni hii mijicho yangu tu...! Duh!