Weekend story! BEN 10

The Ghost! Le Fantome!

Najua wasomaji mshasikia mambo mengi sanaa juu yangu na mnayaamini! Wengine hamyaamini! Anyway nachoweza kuwaambia ni kwamba ukifika levels flani za maisha kama level niliyofika mimi you must not answer to everybody! I choose whom i answer to! Sio kila mpiga kelele namjibu!

Isitoshendugu msomaji wanasema pata pesa tujue tabia yako,mimi nasema pata pesa ujue tabia za watu! Despite hata nifanye nini watu lazima wawe na jelousy na mafanikio yangu, maana mafanikio yangu si madogo ni ya mlimaaa! Lazima waniseme vibayaa tu! Nikijibu hili watazusha lile! Nikijibu hili watazusha lile! Inakuwa tena game of lies! Mi mtu atalozusha ndo hiloo hiloo! Nampunguzia kazi ya kuzusha lingine!

Mimi Ghost ni nani? In short i am a very simple man! Very simple! Sina makuu kabisaa! Only people wanafeli wanavojaribu kuishi complex life chini yangu! Mimi kwanza ni mtumishi wa Mungu, sio wa kubeep! Ni mtumishi nilie somea kabisaa! Apart from that i was raised in the Alter! I was raised in the church! Na personally nikiwa mkubwa hivi hivi i needed a degree! Any degree! Na ninachojua ni Biblia tu! Nikasomea Theology! Mpaka nimetunukiwa Masters in Theology! Hio ni elimu ya juu kabisaa kihusu Mungu! Mimi namjua Mungu kuliko nyinyi ndugu wasomaji. Na mipango yangu baadae lazima nije kumili kanisa! Ni kanisa la watu tunaojielewa lakini sio wenye njaa!

Back to business! Watu wanasema Ghost katili sanaa! Sio kweli! People always try to take advantage of me! Kama Cookie, mngese na sio metaphor ni mngese kweli nime mlea mimi! Kaja na 13 years! Hata matiti hana ungo hajavunja! How did she treat me? Si kanibongoa na kunila kiboga mimi! Hans ndo nashindwa hata pakuanzia!

Hans was my friend! Na i cared about the boy! Mnaweza hisi tofauti but i needed for him to toughen up! Man up! Live to his full pontential! The kid likes to live large! Alivoiona ile gari Benz kama mtoto kaona pipi! Kashobokaa! Kajaaa! Roho imemdondoka miguuni! Nikampa akae nayo kumtia tu uchizi! Na ikamtia uchizi kweli!

The kid had it in him to be adrug dealer! Its a natural Godgiven talent! Ijustspot these talents! I dont create drug dealers! I spot and recruit! Thats it! Wengi wanapenda kuvuna ila wachache wanapenda kuwinda! Wengi wanapenda kuhanga out na drug dealers,enjoy the fruits of dealing ila wachache ndo wanapenda ku deal! Wengi wanapenda kuwa dealers ila hawapendi ionekane ni tamaa zao! Wanapenda ionekane ni walilazimishwa! Hawakuwa na choice!

We always have a choice! We do! Kama Hans he had achoice ya kuwa shoga! He had a choice ya kufungwa, he had a choice ya kupotea na kuanza maisha mapya! But no! He chose to save his ass and become a drig dealer! Told ya he had it in him! Mi nimemkuta anapangusa tayari! Mtasema mimi nimemfundisha drugs?

Yes naweza kukubali i was extreme with him! Maybe hardcore but mipango niliokuwa nayo kwake ni mikubwa! The vigger the plan, the smaller the funnel holes! For him to fit in my plan he had to grow this own balls and shine by himself and out do himself! Hii nidhamu hufundishwi na mtu ni maamuzi binafsi unaamua kuyafanya!

Plan yangu ilikuwa i was getting old! Napitwa na wakati! Nikahitaji mtu kijana,natural ambae hajakuliakwe ye system hii, tatizo la kukulia kwenye system unaishi kwa codes, unakuwa muoga, unakabidhi maisha yako kwa watu kirejareja ambazo zote ni dalili za kutofika popote maishani! Sikutaka mtu aliekulia kwenye system, a free spirt, with balls! Aje awe Ghost kuendeleza legacy,na mimi nifanye maisha mengine ila nipokee mrahaba wa investment yangu kila siku!

Ghost kijana ataendeleza hii biashara vizuri zaidi! Sasa tatizo biashara hii huwezi kumlia mtu yamini maybe umzidi akili tu! Inataka play of skills! Ukisema umtrain Ghost mdogo akiweza tu kakuua! Ndo maana Hans nilimpeleka mzobe zobe! Huwezi kuwa kingpin wakatihujuioperarions zinaendaje? Utaibiwa sanaaa! Unga unakuja kilo 100 wanakwambia 70! We si huendi front! Mi mpaka jana nilikuwa front! Mpaka kesho front na cover vizuri kabisaa!

Nikampeleka stake out ambapo ndo moyo wa dealing! Akapata changamoto za kiafya,nikamrudisha pushing bar, akakaa vizuri sana! Mipango ilikuwa nimpeleke packaging,store, nimrudishe upunda ila hakumaliza training! Akiwa packaging tulipata changamoto ya KONKI! Ilikuwa changamoto kubwa sanaa! Na aikuwahi kuhisi ni Cookie! Always it will be your own people whom you trust most!

Mimi kusolve nikajua tu unga wangu wame uchoka,na kuna hypeya kuua! Nikaja na counter strategy ya kumtuma mtu ampe Hans unga kama wa magendo, uitwe ZE DUDU! Auuzekinyemela! Maana mpaka sasa wateja walikuwa wanataka mali magendo! It is the same shit and product! Watu wana nyege zao! Wanakwambia ZEDUDU ni bora! Hans kajaa! Na aikutaka astuke! Akawaanauza unga wa magendo volume mara 10 ya unga wangu! I played him in his own game! Na nilimtegemea kuniingizia ZEDUDU kwenye himaya ya kina Cookie!

Kundoka kwa Cookie kulinistua ila hakukunistua! I knew one day her brother atarudi! Some hoq i waa hoping kwa Wema nilio mtendea she will find it in her atanichagua mimi but as usual blood is thicker than water! Akamchagua kaka yake! Hata mimi ningemchagua dada yangu!

I had a sister! One sister! Sisi ni yatima tukawa tunalelewa kituoni kanisani! I really wanted to be a pastor! With all my heart! Until my sister was 13, akawa ana bakwa sijui walikubaliana sijui na mmoja wa walezi wetu kituoni! Niliumia snaaa! Akajulikana ana mimba, wakamsakama sana, wakamsonga, she was depressed! I loved her either way! Alifariki anajifungua! Alikuwa mdogo sanaa! Na mtoto alifariki! Na yule mlezi aliachwa hivi hivi hakichukuliwa hatua yoyote ile!

Niliumia sanaa! Nikamwamvia mchungaji! Akasema inabisi tusamehe! Miezi sita ya mwanzo yote baada ya dada kufa sikulala! Mpaka leo bado namuotaga! Nikashindwa kuvumilia, nikamuwekea sumu yule mbaba kwenye chai yake! Alinituma chai nikamuwekea sumu ya panya! Alikufa namuangalia! Polisi wakaja kunichukua,nikapelekwa jelaza watoto! Alikuja mchungaji kuniona, akaniambia tafuta maisha mengine huwezi kupanda tena madhabauni ushakuwa muuaji!

Nilipata tabunyingi sanaa jela ya watoto! Uzuri nilikuwa na akili kochwani sana! Nilipasi sana shule! Walezi wakanipenda! Na nipijenga kanisa hapo jela! Nikawa naendesha ibada! Nilifungwa miaka 8, nikaroka mtu mzima miaka 18! Sikutaka kurudi kanisani, sikutakiwa kurudi! Nikaamua kukaa Arusha mjini ili nipatepesa nikasomee uchungaji! Maana bilipasi form four! Sikutaka kwenda form five ila nisomee uchungaji!

Baada ya kutoka kazi yakwanza kupata ni boda boda! Nilifanya kazi hii miaka miwili,nikakutana na mngese Cos! Alikuwa kijana tu nae rika langu ana hangaika! Mimi na Cos tumetoka mbali sanaa! Ndomaana wanasema kwa Cos sichomoi na sichomoi kweli! Huyu Cos alikuwa shoga so jamii ikawa inamgandamiza,kijiwe i wanamta ia, wanamnyima raha! Ila mimi nikawa mwema tu kwake! Dini ilinifundisha resiliance!

Alivo nizoea akawa ana roho nzuri mnoo kwangu! Ndo maana mtu akisema Ghost ni msengery mimi siumii wala sikasiriki! Katika watu waliowahi kunio esha upendo duniani ni Msengery Cos! Shoga ni waru wna roho nzuri mnoo mnooo! Yupo tayari yeye aliwe makalio afu pesa yote akupe wewe kiroho safi.

Mi nimejua Cos nampeleka kwenye mishe zake za udananda! Akaniambia Ghost kwanini unateseka na fupa hili siku znima njoo nikufundishe udananda! Utapata pesa nyingi! Nikamwambia kama udananda ndo ungese sitaki! Akasema hamnaaa! Hio hiari yako! Nilikuwa na big plans nikakubali!

Siku ya kwanza nimetoka na Cos alikuwa anawauza wadada wa 3 kwa wachimba madini! Akawapiga laki 8 za vinywaji! Wakaacha simu, nikawapelekea hotelini. Nikaona hii no kazi! Keshonamwambia Cos anipe changu najua hata akinizulumu sikosi laki 2! Weee! Ananiambia alilewa akaanguka mtaroni wakamsachii ana buku 20 tu! Tulishikana mashati! Nikamuachia hio 20,000! Nikawa nampotezea simpakii kwenye boda yangu! Mikausho balaaa!

Alijaribu kunisemesha sana ila mimi nikawa oves! Nikaja kuibiwa ile voda ya watu nikawekwa ndani mwezi! Akaja Cos kunitoa! Nikawa sina pa kwenda, nikawa naishi nae kwake! Ndo mana nakwambia wasengery wana roho nzuri duniani hakunaaa! Nikawa naishi nae navaa nguo zake skinny kwelikweli! Tulivokiwa tunaishi vizuri wakatuona letu moja!

Ana roho nzuri Cosy! Akitoka lazima anitoe na mimi! Nikaimudu kazi ya udananda mpaka kuja kumzidi yeye mwalimu wangu na kupata jina kuliko yeye! Nikamwamvia tuje dar, Sinza! Ndani ya mda mfupi tukajenga jina dar! Mimi na Cos tuna siri nyingi sanaa waaomaji siwezi kuwapa zote leo!

Mimi wanawake nimeanza kuwala zamaniii mnoo mnoo tangu kibaba na mama kituoni! Baadae nikiwa na miaka 9 nilikiwa mzuri sanaa, kuna mdada mkubwa palekituoni akanifanya bwana wake, akawa ananifosi nimlale kikubwa! Mpaka naend akufungwa mimi fundi kweli kweli. Jela pia nilikuwa mzuri, watoto wa wale askari magereza walinikoma! Mi sikuishi kama mfungwa! Afu sababu nilikuwa na swaga za kichungaji wazazi wao waliniamini sanaa! Oraaaaa! Nilikuwa nakula wanawake mpaka basi sasa!

Nikiwa voda boda ndo usiseme kabisaa! Kimuonekano mimi ni mzuri na mvutooo! Sina sura ya kike,ni mzuri wakiume! Handsome! Mimi ni mrefuuu, kifua kipana, nina nywele nyingi nyeusi tiii,na rangi black ya usoft! Afu ni mtaratibu mambo yangu!

Nikiwa Mdananda na Cos ndo balaa! Hao wanwake wanavoningangania mpaka viashara ikawa ngumu! Mwanamke hataki kuzwa ananitaka mimi! Sina cha kuwapa ila bado wanataka show! Nikitambulishwa na mshkaji demu lazima anizamie inbox!

Nikiwa mdananda ndo niligundua wanawake hana jema wala hawana shukrani wala akili! Ni viumbe dhaifu mnooo mnooo! Na bikawatoa maana kabisaaa! Jinsi mambo waliokuwa wanafanya wakanitumbukia nyongo kabisaa kabisaaa!

Nikiwa Ghost i am very selective! Extremly selective! Na bado sijampata mwanamke naemtaka! Nime date ma voss mpaka wa chini hawa lowest ofthelowa bado sijampata yule mmoja nafsi yangu itaemridhia! Kwa sasa nikimpenda au kumtamabi mwanamke nakuwa nae namtimiza njaa nja zake kwa mda,nikimchoka basi! Nampanga mapemaa hili haliendi kokote! Na kila mwanamke nikimuacha alzima anigandeee! Imefika stage nachukua wa nchi zingine waliokuwa nchini temporary au machangu sanaa sanaa!

Nanunua hapo Ambiance, nampima ukimwi kama hana natembea nae, asubuhi namtemaa! Si tamaa za mwili tu!Na machangu hawatakagi niwalipe kabisaa! Wananiambia wananipa bonus! Wewe kaka nimekuelewa sanaa na nimeelewa show yako nakupa ofa tu! Mkumbuke mimi ni ghostkama mspmaji anabisha ajifanye kama anajikuna tu nione!

Siku hio Kyle kaja Club D kama siku ya 3 toka Hans asepe! Kyle namjua sanaa! Tangu nauza unga Arusha mjini! Kuna bonamu yake tulikuwa nae kwa hizo mishe, ikatokea bahati mbaya akawa teja aka relapse baada ya overdose tukampoteza! Ila ni mtoto wa kitaaa! Namjuaa ananijua! Ofcourse alivonifanyia madharau kwake niliumia sanaa! Ila bikasema dunia hii inazunguka!

Kaja ananisujudiaa! Ni mtata huyuuu namjuaaa! Nikahisi ni chezooo! Katumwa na Hans! Nikafurahi kwamba Hans is making moves! Na nikataka kujua ni moves zipi! Nikahifanya mjinga! And the fact Hans was putting his kid on the line, nikafurahi zaido na kuona sikukosea kumchagua yeye! Nikataka kujua zaidi!

Akaniambia pale! Nikamwambia sawa! Twende nyumbani kwangu! Kwangu as in kwangu acha majumba yangu mengine nayoweka wanawake ilimradi tu! Sometimes mwanamke anakaa six months hanioni anaamua kuondoka mwenyewe! Nikampeleka kwangu napoishi kila siku jioni narudi! Kwanza nikawa nataka kuiona jeuri yake inaendeleaje baada ya maisha kumla kiboga! Pilinilitaka akae sehemu ambayo Hans hawezi kufika na Kyle hawezi kutoroka! Ni mateka huru! Nimemfunga kitambaa machoni hajui anaenda wapi!

Hapo kwangu kuna ulinzi balaa! CIA wakasomeee! Kuna laser beams zinawaka mda wote na kuzizima hizi mpaka finger prints zangu! Ukipita umekatwa! Kuna intruder alarms hata akipita mbu zina trigger! Cctv ka zote, walinzi kama wote! Kuna automatic snipper guns! Ziki detect movement unprogrmed zin fire automatically! Ni zaido ya guantanamo bay! Ulinzi wote sababu hii pia ni deport ya ungakubwa kabisaa!

Nimeingia nae pale! Kuna maid wangu mbibi wa mda sanaa! Ananiamini kwa maisha yake na mimi namuaminj! Akampeleka chumbani! Nimekaa kula hajaja kula! Nikamwambia bibi muite! Akaja kula! Haniangalii usoni! Kazeeka sura! Maisha! Tukawa tunakula kimya kimya! Nikamuuliza jela vipi? Akasema safi tu! Nikamuaga nikatoka!

Huku anankomaa anataka kutoka, ana mgonjwa hospital lazi aende! Akaambiwa haiwezekani! Hapa ndo umefika! Akafanya fujo kubwa! Nikaja kumsikiliza! Nikamwambia umekuja kwangu umeacha vyote! Alipiga magoti huyo mgonjwa ni lazima amuone, akanisimulia kanywa sumu, ni lazima amuone! Nikamwambia hakuna!

Nilienda kumuona yule mgonjwa bado alikuwa mahututi sanaa! Hana fahamu! Nikakuta bill kubwa! Nililipa! Nikamkatia na bima! Nikamkuta kavurugwa! Nikamwmavia bado hana fahamu hata ukienda husaidii kitu! Ashakuwa kabichi anaishi kwa mashine! Akipata nafuu au vipi nitakujulisha! Ila nimelipa kila kitu na nimemuwekea nurse full time! Kuwa na amani!

Nikiwa nawaza nimtumie kwenye nini ukiacha bait ya kumfanya Hans afanye nitayotaka mbeleni kwa kina Cookie nimfanyaje? Nikawaza sikupata jibu! Jioni nikamuita anisimulie every thing about Hans! And it waant interesting at all!

Nikawasikia na bibi Tina wananisema! Anamwambia kiwa na amani Ghost hawezi kukufanya kibaya, atakufanya nini wakati hana marinda wala cha kufanyia! Haaaaa! Ina maana hii ishu mpaka Tina anaijua na anaieneza? Nilishangaa! Kyle ni mtu wa Arusha so yes lazima awe ashaisikia sikia!

Anamwambia wewe kama unataka kutoka humu mkubalietu akutie madolee! Sasa atakufanya nini zaido ya hilo! Kwani ushatiwa vingapi kwenye papa hilo itakuwa vidole! Mshawishi ni mdhaifu sanaa wa wanawake huyu! Si mtu mbaya ila pia si mtu mzuri wa kukaa hapa. Sana! Khaaaaaa! Nikatikiaa kichwakwa masikitiko! Tina udhaifu wake watoto! Ahaakionea huruma kila kitoto

Nimelala usiku nashangaa mtu anavamiaa! Nikaahika bastola! Akapiga yowee mi Kyle usishoot! Nalala na bastola chini ya mto! Namuuliza vipi? Anasema nimeota ndoto mbaya sana! Nikawaaha taaa! Kavaa chupi na night dress nyepesi! Nikajua kazi ya Tina hio! Nikamwambia haya kalale hamna kitu na ukiota tena kimbilia kwa Tina! Nitakushoot!

Siku ya pili, anaota ila sio kuja chumbani kwangu anapiga makelele chumbani kwake! Sikwendaa! Anazidi kuota! Nikaweka buds za masikio bado kelele! Mpaka mwanae akanza kupiga nae kelele! Nikaamka nakwenda kumchukua mwanae, nimemkuta kavaa chupi tu! Nikamchukua mtoto na kuja nae chumbani kwangu tukalala mpaka asubuhi!

Anaongea na Tina hawajui nyumba nzima nimeiweka vinasa sauti! Anamwambia alikuona ? Anase!a ndio akamchukua tu mtoto! Tina anasema huyu kumtafutia mke ni kazi kuliko nilivowaza! U ajua mimi namuona kama mwanangu! I want him to be happy! Nje anaweza kuwa sio mtu poa ila moyoni ana utu sanaaa na roho nzuri! Tusikate tamaa! Mxiuuuuuu! Nikasonya mtahangaika sanaaaa!

Nimerudi nakuta kavaa bukta, ananikaribisha mezani, anataka kunipakulia nikamwambia napakuaga mwenyewe! Anahangaika msomaji sio kidogo! Analeta story kama zote! Akaleta story Ghost watu wanakusema vibaya sanaa! Nikamuuliza wananisemaje? Akaghairi nankubadili mada! Nikamchenjia wananisemaje? Please i want to know! Akawa mdogo maneno yana mkaba mkaba!

Nikamkazia akajikongoja wanasema wewe sio riziki, wengine hanithi! Nikacheka tu! Nikamuuliza na wewe unasemaje? Hao watu! Wewe je? Akajibu sijajua bado! Nikamtikisia kichwa kukubaliana nae! Nikaenda zangu kulala! Usiku mtoto akalia sanaa! Namsikia Tina anasema huyu mtotoinabidi apelekwe kwa baba yakehaya mambo ya kiswahili! Nikaenda kumchukua! Akaja huku nikambembeleza akanyamaza tukalala!

Ikanyesha mvua kubwa sanaa! Radi na upeo! Umeme ukakata, Standby generator haikuwaka automatic! Nikasikia wana hangaika nje kuliwasha! Nikasikia Kyle anagonga ghost! Nikamuuliza nini? Akasema naogopaga giza mwenzio! Nikamuuliza Kwa hio? Anajibu umeme umekatika! Nikamuuliza kwa hio? Naomba nije nilale na nyie! Nikamwambia hamna nafasi! Linda analala vibaya na mimi sipendi kubanwa! Kalale na Tina!

Tinakaja kudakia mimi naumwa kichwa boss soweiz kulala nae kwa kweli siwezi! Nikawaambia mtajua wenyewe! Tina akaondoka! Akabakia mlangoni! Ikipiga radi namsikia anvohema juu juu! Nikamwambia ingia! Ila lala kwenye kochi! Akaingia na pajama hali ya hewa haikuwa rafiki!

Akaanza ghost una wanawake wangapi? Nikamwamvia wewe si umesema mimi shoga? Akasema sijasema wewe shoga, nimesema watu wanasema! Nikamwambia kauli zote sawa tu! Sasa nakupa jibu mimi shoga ndio! Haya tulale! Akaanza unajua Ghost nilikuwa nakuchukia kufaaa! Sikujibuuu! Nilikuwa nakuchukia kufaaa! Ila sasa hivi wewe ndo ndugu yangu! Dunia duara! Nakaa kwako,nakula vizuri, naishi vizuriii, huninyanyasi, hunidai kitu! Hata kama kweli Ghost wewe ni shoga mimi i dont care! Wewe kwangu ni mwanaume kuliko wanaume rijali! Nimesema hata kama shoga i dont care! Unanielewa ghost! Linda humjui umemlipia bill za hospital, umemuamishia hopitali nzuriii! Bila wewe Linda angekufa na mimi nishakufa moyoni you gave mi hope! Hata kama shoga i dont care Ghost!

Nikamuuliza okay! You dont care! Kwa hio? Were you supposed to care? Amekomaa I dont care ghost! Nikamwambia Kyle kama uanitaka usizunguke zunguke sema direct tu, Ghost nakutaka, afu uone moto wake! Navowaambia Kyle ni jasiri msidhani nawatania! Alivua nguo zote mpaka chupi akasema Ghost nakutaka! Ile kama sema suuu akasema SUUU!

Nikamwambia panda kitandani na akili zako timamu! Akasema ngoja nimtoe mtoto! Nikamwambia hana shida sihitaji tanda lootela 8kwa12 mimi angle moja tu inanitoshaaa na kubakia! Huyu wala hatumfikii! Anajisemesha mi sijawahi kulalana gay man before, utanielekeza naamini siwezi kushindwa, La muhimu tuelekezane tu! Nikazima flash ya simu, kukawa na giza totorooo! Maninaaaaa!

Nikambana mikono yake 2 juu ya kichwa na mkono mmoja! Inaitwa One mans show! Nilijua lazima atataka kunigusa machine nikamfanyia tu ushenzi! Unagusa gusa nini, ili iweje! Mkono mmoja uanendeleza show! Na sijamlalia ili ajue kama nina mashine au sina thubutuuuu! Na pajama yangu sijavua! Nimepiga magoti! Nikashuka kifuani kwenye matiti! Anasema Ghost nanyonyesha! Nikamwambia na mimi ndo nanyonya! Ananiambia chakula cha mwanangu! Nikamwambia ndo ungecha umalaya wa kui gia vyumba vya wanaume! Nilinyonya matiti vizuri sanaa! Kwanza maziwa ya mama yana lishe nzuri sanaa! Pili mwanamke anae nyonyesha ukimnyonya chuchu ana stimu za hatariiii!

Nimeshuka chini zama chumvini! Piga deki kisawasaw naona hapa ndo alihisi mimi shoga kweli kweli! Akitaka kukojoa tu naacha! Nilimtesaaa! Akakata tamaa kabisaa! Niksukuma chini simuuu! Akastukaa! Kurudosha akili nishazamisha mshine yoteee! Alistukaaa kidogo afe kwa pressure! Anatamani anishike mikono imebanwa! Alishikwa wazimu! Fasta fasta nikakojoa zangu cause alikuwa anaumia, nahisi toka azae haja do, na mstuko pia!

Maneno yalimuishaaa kimyaaa! Nikava apajama langu afu basi! Nikageuka kulala! Baadae akaenda kuoga! Akarudi mwanae analia, akawa anataka kwenda jikoni ananiamsha mtoto anataka maziwa! Nikamwmabia si hayo hapo kifuani! Siwezi kumnyonyesha nitambemenda! Nikamwambia haya kakoroge gizani! Akaniambia naomba simu nimpigie Tina! Nikamwmabia imeangukia uvunguni siweiz kuiona! Kuna silaha huko utaleta balaa! Mnyonyeshe mtoto acha ungese na mambo ya kiswahili!

Alinunaa! Akawa kanigeuzia kalio, anamnyonyesha mwanae analia yeye na mtoto analia! Basi tu nikasikia nyege hilo pozi lake! Nikashusha pajama yangu akastukaa nishamchomekea mashine! Akataka kuruka nikawa nishambana haweziii kuchomoka! Nambembeleza! Bababy shhhhhhhh! Ananiambia naona umeamua kunibemendea mwanangu jumla jumla! Namwambia hamna kitu kama hiko! Hizo ndo raha za kulea! Unalea baba na mwana kwa wakati mmoja! Sahivi akawa haumiii!, anaonesha ushirikiano hatariii! Nikakojoa zangu nikageuka nikalala!

Asubuhi Tina anamuuliza vipi? Anakosa la kumwmabia! Tina hana subiraa! Anamuuliza vipi ulimboost? Au ilikwendaje! Akamwambia 2 bila! Kivipi? Anamwambia hivo hivo! Anauliza kiaje huyu si sio riziki! Anamwambia hapana! Tina anamwambia haiwezekani! Kwa mashine anayo? Anamwambia kubwa tu! Tina anasema haiwezekani! Uliishika? Hapana! Tina namwamvia itakuwa mdoli! Ujue hii midoli wameiboresha hatariii! Uneweza jua kitu OG kumbe mashine! Akamuuliza dada Tina mdoli unakojoa? Unamkojolea mtu? Tina akamwambia usiongee na mimi Kyle wewe muongo usie na haya kunidanganya mpaka mimi mtu mzima!

Sikurudi nyumbani wiki 2! Ila walikuwa hawasemeshani kweli kweli!

ITAENDELEA!

Leo mjichanganye mapemaaa namba yetu ile ile mtume humu 0652963792 Jina Daudi Mligo. (SIO NAMBA YANGU, SIO MJITIE KUPIGA SIJUI NINI MTAFELI. NI KUTUMA TU PESA YA BIA TU)

NAWAAMBIA MAPEMAAA LEO IJUMAAA! MKICHEZAA STORY HAMNAA! NAENDA ZANGU 4040 MTABAKI WENYEWE! NAWAANDA KISAIKOLOJIA MAPEMAAA! MKIFANYA KWELI MAPEMA SAA 10 TUNAKULA EPISODE NA SAA 3 TUNAKULA EPISODE! MZINGA MMOJA 30,000 KWA IJUMAA YA MWISHO WA MWEZI KAMA HII NIPATE ATLEAST MITATU! MSINIFELISHE. MKIDELIVER NIKALEWA SI MNAONA NA DELIVER VITU KONKI.
 
Hii episode ni sheeda nmejikuta naisoma mara mbili mbili .........
 
Kweli Hans hana bahati
 
Huyu ghost anapatikana wapi nimtafute!!??
 
Leo mjichanganye mapemaaa namba yetu ile ile mtume humu 0652963792 Jina Daudi Mligo. (SIO NAMBA YANGU, SIO MJITIE KUPIGA SIJUI NINI MTAFELI. NI KUTUMA TU PESA YA BIA TU)

NAWAAMBIA MAPEMAAA LEO IJUMAAA! MKICHEZAA STORY HAMNAA! NAENDA ZANGU 4040 MTABAKI WENYEWE! NAWAANDA KISAIKOLOJIA MAPEMAAA! MKIFANYA KWELI MAPEMA SAA 10 TUNAKULA EPISODE NA SAA 3 TUNAKULA EPISODE!
 
UNAJUA KUTU GHOST NA PAJAMA!
HAYAAAAAAAAAAAAAA TUNAKUJA!
 
Fanani, umetuibia Ghost asie na marinda, Leo hii anapiga shoo
Kyle haamini alichofanyiwa
 
Kupotea njia kupo mkuu, dulla alipotea njia sasa ameomba radhi anataka kurudi nyumbani, sasa ubaya wake upo wapi hapo? Najua wee ni team dulla mkuu basi tu unazuga.
Hapana aisee kubebwa kote kule " lakini still analeta mawenge " ... Mimi team kina linda " wale ndio mafioso .. huyu dulla yuko soft mnoo watoto wakike wanamshinda umwamba "
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…