achana na watoto hao bado wanavaa pampas leta story jinsi ulifumuliwa marinda bnaKina Soud brown sio watu wa mchezomchezo. SHILAWADU WAMENITEKAAAA.
ahahaaa leta sehemu za jey alivokuwa anakunyonya papuchi kwanza ninyegekeIli upigie punyeto! Hahahaaaaaaaa! WICKED!

USINIFUNDISHE KAZI TAFADHALIIIIII. Mi hiki kitoto ki soudy nataka nipige nacho mechi a kirafisi ila naogopa kita ni shilawaduuu papa langu kwenye kipindi. Na hivi ndo kuna No shave november, hahahaa nitaadhirika zaidi ya Milly Mwamvua alivopopolewa vuzi zote na Mange Kimambi. STORY ITAENDELEA USKI HUU KUWA MVUMILIVUahahaaa leta sehemu za jey alivokuwa anakunyonya papuchi kwanza ninyegeke
Nimefurahi umenitaja jina langu kweye story yako...U have greatest gift.. Talent in narration.. Big up sana.. Skills zako kwa wadau wa Literature we salute you...
Nimefurahi umenitaja jina langu kwenye story yako. . . .Scondary life was bitter in the beggining, since Pricilla was no more, our crew was no more. I was back to being a zombie i was, a no one, clummsy, ugly and fat me. Those were not so much needed characters to survive in secondary and i had all of them.
Baada ya wiki bi mkubwa kunisindikiza akanikaziaaa bwana inabidi uwe unaenda mwenyewe na school bus, mi na mambo yangu, Mungu ni mwema kila kitu kitaenda vizuriii. Siku ya kwanza kupanda school bus, niiwa muoga muoga nikaingia kwenye school bus kwa wasiwasi kila napotaka kukaa naambiwa kuna mwenye siti yake. Mwisho nikaamua kusimama. Konda akaja kuwachenchia jamani mwenzenu nae analipa mbona mna roho mbaya hivo nyie watoto mkiwa watu wazima si mtaua mtu nyie, yani mnaona sawa asimame njia nzima ili tu muweke mabegi yenu kwenye siti. Rahma toa bag akae mwenzenu. Analipa na yeye mzazi wake ana fight mwnae aende shule kakaa.
Rahma akasonyaaa, akatoa bag, wakasogea na shoga ake wakani ignore complately. Basi shoga ake Rahma gari ikikaibia kwenye tuta anasimamaa. Gari likirusha anatoa ukunga wa hatari, mwisho akaamua tu asimame jumlaaa. Mmmmmhhh! Mwenzie anamuuliza bado hujapona tu, shosti anajibu badoooo. Naumiiaaa mimi, natesekaa akaanza kulia machozi. Rahma anambembeleza usijaliiiii, au uachane nae, kwani ulivoka kasemaje. Shosti anamwambia mimi nilimwambia sipendi mambo yake ya back door, naumiaaa, i cant sit on school bus, i can barely sit napata maumivi, natesekaaa, inaniumaaa balaaa, akaniambia kama sitaki mambo ya Tigo basi, sis wanafunzi back door is safer, we dont have to wory about getting pregnant and shit. Nikamkatalia sitakiiii, naumiaaaaa. He broke up with me, akaenda kumchukua mdada wa Loyo mabibo and they were together all over town, in parties, and it just broke my heart. Nikiwaona nikawa naumiaaa rohooo. When he wanted to get back with me, i thought he has changed ndo jana kukutana tena kaanza yale yale mambo yake ya back door.
Rahma akamwambia maybe uachane nae kabisaa, maana huo sasa ulemavuuu, ushafikiria mzazi wako akijua unafanyiwa hivo atajisiiaje? Kwani anakusaidia nini? Mngese tu hamna anchokupa nakuhariu tu maumbile yako, trust me achana nae. Shosti akawa kama hana maamuzi. Tukawa tushafika, nikashuka zangu ila japo nilikuwa dummy ila nilishangaaa. Shule nilipata sana shida ukizigatia nishazoea ile style ya A listers. I really wished to get back to Alisters.
A listers wa huku walikuwa mean and evil. Break nikawa nakaa tu kwenye msingi wa assembly nangaa sharubu tu mpaka break inaisha narudi class. Sasa katika msingi tukawa wawili tunakaa na mwenzangu anaitwa Batuli, tukawa tunasemeshana fresh, ndo nikawa nishapata shosti. Hatuna makuu, ikifika break tunakaa na kujadiliana mambo kwa kina. Tatizo shoga angu batuli alikuwa mswahili hatariii. Ana story chafu chafu za kitaa kwao, sasa na mimi nilivobozo i found them amusing.
Siku hio Batuli hakuja niko juu ya msingi, akaja mkaka kunisemesha i didnt take him seriously, ana swagga hatari, anaitwa Joey. Brother man just the way i used to like them. It was like a dream come true. Nikaona school is just getting interestig. Akaniuliza uanitwa nani nikamwambia Sydney, akasema anaitwa Joey, niende kwao Jmosi tuongee. My world just stopped. Nilishikwa kigugumizi. Akawa ananielekeza. He was so nice, sweet and sensitive. The fact Batuli hakuja siku hio roho iliniumaaaa cause i was so happy mpaka furaha ina ni suffocate.
Kurudi home nikashindwa nikamsimulia mama, mama nae akaanza kuuweka usiu, huyo Joey nani, yuko form ngapi, huko kwao hana wazazi mpaka akualike wewe, afu kwanini wewe.Nikamuona maza mwanga tuuuu. Anataka kuibemenda furaha yngu, la msingi jumamosi naenda. Keso ilikuwa haifiki, Batuli asubuhi nikawahii nimepeze ubuyuuu. Batuli akawa ananiuliza Joey ndo nani hapo mbona simjui. Nikamwambia nitakuonesha. Akaona hataaaa. Akampeleleza mpaka akaoneshwa huyo Joey ndo nani. Break akaniapia hamna kitu kama hikoooo, yule kaka akulike kwao? Kwa mpango gani? Bonge wewe? Mi sio bonge, na shepu langu sithubutuuu kumsogelea. Na kama kakualika anataka kukudhalilisha.
Being stupid is sometimes advantageous, huenda kweli alikuwa na valid point but me being me your usual dumb nikaona ananizingua tu. Break akaja tena Batuli, nimemchimbua huyo Joey , yaani nimembalaluuu data zake zote ninazo. Mwenzio kwanza katoka Dionicia yule head girl, alafu anasemekana kuwa na something na Malika, yule aliekuwa kwenye video ya huyu msanii wa bongo flava, video vixen. Na pia ni est asie eleweka wa Ghatti huyu mtoto wa balozi. Sasa shoga angu where do you fit on the picture. Sikia Bonge yule Joey anakuchuuza tu, mpotezee. Nikawa sijakubali.
Batuli akingangania jambo hashindwi kirahisi, akaja na plan kuwa break, Joey anakaga kule uwanjani, na wadada duu wa form 2 na 3 wanakuwepo eti twende mimi na yeye Batuli, nipite tu pale tuone kama Joey hajani ignore na kujifanya hanijui. Mi si jinga la mtaa nikakubalii. Tukawa kweli tumeenda mpaka hapo na Joey alikwepo, hao wadada Batuli aliowataja sikuwa nimewaona kama wazuri kiasi hikooo. Mmmmmhhh! Nikakata tamaa. Nikasimama. Batuli ananimbia twende sasa, twendeee. Nikamwambia Batuli umeshinda siendiiii. Now i feel you, the boy is bad news. I was wrong.
Nikawa nimekaa chini ya mti kwana kujikusanya, si mnajua tena mamb ya mjini dunia ilinienda kasi. Batuli akaniambia Joey anakuja njia hii, nikakurupuka, kugeuka keshafika mitaa hio, ikabidi tu niendelee kuaa chini. Akanifata Sydney, basi Batuli almanusura azimie kwa mshtukooo, sio kwa Joey kuwaacha wale wa dada kunifata pale chini ya mti. Kwa umbea akaaga. Joey akaniuliza Jumamosi utakuja. Nikasema nakuja ndio. Mara head girl huyu hapa Joey twende. Wakaondoka, kama hatua 10 yule head girl akarudi, We bonge Joey kamwambiaje, nikasema kanimbia nisimkodolee mimacho. Akaamini, akasunya akaondokaaa.
Basi, Batuli akabadilisha msimamo, ujue we Bonge mzuriiii hujijui tu, nakwambiaa, una macho mazuri, mara miguu, ilimradi tu mtumbaya mtu anatafutiza visifa vya kuokoteza. Yaani i couldnt wait for Satoooo. Imefika, sikutaka longo longo meamka usikuuu, nimefanya usafi kote, nimepika chai, saa 4 nkamuag bi mkubwa ndo naenda. Wosia debe kama sio gunia. Kufika huko kwa kina Joey bonge la jumbaaaa.
Nje tu sijui ilikuwaje, nikamkumbuka shoga ake Rahma,nikawaza sijui nigeuze tuuu. Ila nikaenda ndani, akanifungulia nikaingia, kwa mashaka. Sharo yule mara oooh you made it, welcome, Juice kubwaaaa, mara pringles. nikawaza tu raha za rejareja kama hizi unaweza kuta umeachia marinda yatatuliwe hivi hivi. Basi ananisogelea we just talking and it ws sweet. Mara mlango ukagongwa akaingia Ghati, tukawa tumekaa kimya, Joey kule, Ghati kule, mimi kule kimya. Nusu saa baadae akaingia Malika, nae akakituliza kipapa kimyaaa kama mazombiii, tunaaangalia tv kwa mwendo wa kimya kimya. Mwisho akaja head girl, nae akakitulizaa pale. Likapita isaa katka huo mkao wa kimya kimyaaaa. Tunatoleana mijicho tu.
ITAENDELEA USIKU HUU.
ahhaaaa leta story bna sitako story za insta humu achana na kina soudy kwanzaUSINIFUNDISHE KAZI TAFADHALIIIIII. Mi hiki kitoto ki soudy nataka nipige nacho mechi a kirafisi ila naogopa kita ni shilawaduuu papa langu kwenye kipindi. Na hivi ndo kuna No shave november, hahahaa nitaadhirika zaidi ya Milly Mwamvua alivopopolewa vuzi zote na Mange Kimambi. STORY ITAENDELEA USKI HUU KUWA MVUMILIVU
U got a talent ujueThe privillaged!
Masaki! i am here baby! Finally. I never thought this day will come. Kila nilipopita mahali hapa nilitamani na mimi niwe mkazi wa eneo hili. The upper side. And now i am here. Unaweza kushangaa why a small thing means so much to me, usiumize kichwa nitakwambia.
Nilivokuwa mdogo by the age of 5 or 6, nilikuja Coco beach na baba yangu, nikamuuliza nani anakaa kwenye hizi ghorofa, akaniambia watu matajiri, nikamuuliza kwanini sisi sio matajiri? Cut me some slack i was just 6, akaniangalia usoni akaniambia kua uyaone. ila mood yake yote ilibadilika.
Kama una dhani that was the stuppidiest thing i ever asked my dad you are absolutely wrong. Among series of abusive questions to my parents i also blamed them for my low IQ, Low life, low looks, low everything. I was ugly, fat, unbright, lazy, unexposed and uneverything. The best my parents hoped for was i find a man, a good man who will have it in him to take care of me for the rest of my life mean while i bear him countless babies, wash his panties, cook him food and rot in the kitchen like other millions of typical Tanzanian women.
That was plan, and it was going well, because my mom never hoped i will see the corridors of higher education, she never wnated me to feel stupid as i was, because like any other mom she was supposed to be the last one to see things for what they are, but she had to prepare me. she taught me to cook well. kwa misosi sina mpinzani. Usafi ndo usiseme, na cha ajabu alinihimiza kupenda kushona, na akaninunulia cherehani kabisaaaa. My sweet mommy.
The day i knew i was stupid, dumb and dummy ni siku mzee alikuwa akimwambia mama, Mungu katujaribu mke wangu, majaribu mazito, silalamiki wala sikufuru, ila mtoto 1 afu ndo huyu uwezo wake mdogo sana kiakili. Mi nikistaafu itabidi tujipange sanaa. nimesomesha watoto wa kaka zangu, dada zangu, sasa sijui kama watamkumbuka huyu mwanetu. Na hata wasipomkumbuka sitowalaumu kwa kweli. Tuombe tu Mungu.
Any normal kid angepingana na hio observation ya mzazi wake , angejitahidi kimprove wrong mzazi wake, angefanya mengi, ila mimi kwa udogo wa akili yangu nikakubaliana na huo ukweli kwamba mimi ni mjinga and i will nevr be anything, my only shot is to depend on people always to take care of me. I became afraid of everything and everyone. I depended on peoples opinions and decisions, i just couldnt trust my dumb mind at all. Nguo lazima nimuulize mama nivae ipi, kwenda mahali lazima nimuulize mama niende ama nisiende.
Watu walivokuwa wakinisema huyo mtoto mbona kama mjinga mjinga, mama alikuwa defensive sanaa, aligombana na kila mtu na kumtenga. "Huyu mtoto aliumwa sanaa alivokuwa mdogo, mwanao angeumwa kama huyu angekuwa kafa siku nyingi sanaaa. Naomba umwache kabisaaa, magonjwa yashamnyanyasa sanaa, kama huwezi kukaa na sisi tokaaa." People learned to be positive about me by force.
The first day i went to my primary school, second primary school manake ya kwanza niliamishwa, ilikiwa hizi za kawaida kayumba kwenda international za english medium sikupata rafiki wiki nzima. i just never knew how to make friends. Kila nikirudi mama anauliza umepata shoga? Namwambia bado, wanaongea kingleza afu mi sijui. Nakaa tu peke yangu. Mama akawaza na kuniuliza Pricilla mnasoma nae? Huyo mtoto wa Mwita? Nikamwambia ndio, ila hanisemeshagi shule sijui kwanini.
Jumapili kafanya manuvaaa mpaka kaifikia familia ya pricilla kanisani mda wa kutoka, akamsalimia mama Mwita, kumbe walisoma wote Jangwani zama hizo walikuwa mabest, Akawa anamwambia na wanetu wawe ma best. Pricilla yupo no mama, she is a dummy, no bad likes her. akachezea kofi moja takatifu toka kwa Mama Mwita chezea Ticha wewe. akaulizwa unatakiwa kusemaje "Yes mom"! Mama Mwita was a nice woman, akawa anamwambia tu mama bado yuko slow, atachangamka, aliumwa sanaa udogo wake. Bt she will be fine. Uje nyumbani tuongeee. blah blah blah tukaachana nao.
Jumatatu Pricilla akanisalimia Bonge mambo? Nikasema poa. Honestly i dont like you, neither do my friends but my mom said i should look after you, i guess now you are in my crew. Utafanya vile nataka, uko tayari. Nikawahi ndio. Then i became A lister, because Pricilla was an A lister. She was bright, the dad was rich some CEO, mama head mistress, analetwa na gari na kufatwa na gari my life could never get any better with the exception za kutumwa kila saa na Pricilla, kumbebea begi, kumpeleka kokote anakotaka kwenda, like her personal property. But life was good, i got to go in every party and all the boys in school were nice to me cause i was Pricillas girl.
Ngogoooooooo! Ngooooooo! Nikastukaaaa, ndo kwanza nahamia nani ananijua Masaki hii? Afu hizi apartment hamna wenye nyumba kugonga sijui nini, ngoja nicheki. Nikaenda kufungua mlango. Nikakuta kundi la wanawake mlangoni. Tobaaaaaa.
ITAENDELEA
Hahaa chizi sana Miss Natafuta.ahahaaa leta sehemu za jey alivokuwa anakunyonya papuchi kwanza ninyegeke
USINIFUNDISHE KAZI TAFADHALIIIIII. Mi hiki kitoto ki soudy nataka nipige nacho mechi a kirafisi ila naogopa kita ni shilawaduuu papa langu kwenye kipindi. Na hivi ndo kuna No shave november, hahahaa nitaadhirika zaidi ya Milly Mwamvua alivopopolewa vuzi zote na Mange Kimambi. STORY ITAENDELEA USKI HUU KUWA MVUMILIVU
sasa huoni akisoma hapa atajua kama ndio wewe Lara 1?nachelewa mishe zangu jamani kwaherini ukute lata analiwa zake huko kwa raha zakeHahaa chizi sana Miss Natafuta.
Utaharibu ubongo bure kuvutia hisia kunyonywa
I recommend for you.. The rhythm of my ryme by Sandra Mushi..Lara 1 nikisomaga nyuzi zako.. Huwa napata Picha ya Sandra Mushi... One of the greatest woman in Tanzania.. Though uncelebrated..View attachment 432687
View attachment 432688![]()