Weekend story: Bad wives

Weekend story: Bad wives

Ficus jamanii tutasikitika kufika ngambo bila wewe mwenzetu. Njoo umalizie story kishingo upande.

Msanii tu huyo anafuatilia mtanange japo kimya kimya, hili goma sie makasisi wenyewe tuko front itakuja kua yeye?
Ficus next time unasoma story kadhaa kwanza na unazidigest unameza ndio unacomment, utakija kukosa mambo mkuu, think global like Amar, act like lara 1 but be Samaritan
 
Sasa hii ndio ninitena Lara1!? Mbona unamaliza story kibabe namna hii?

Yaani movie linaisha kama Prison Break, haijulikani wahusika wamekufa au wapo hai..... lara 1 acha tuchangechange ujipooze koo. Hii burudani mujarabu
 
Yaani movie linaisha kama Prison Break, haijulikani wahusika wamekufa au wapo hai..... lara 1 a ch tuchangechange ujipooze koo. Hii burudani mujarabu
Hakika burudani hii ni mujarab.
Ila kuna baadhi yetu tunaiharibu kwa kukopi story nzima halafu anachangia Maneno matatu.
Kwanini usichangie tuu bila kukopi story yote.!?

Tunateseka sana sisi tunaotumia simu
 
oh yes !AMAR ARUDI TU HATA AKIWA MFU Sydney ndo kaburi lake!


NAJUA ATARUDI!
FULL ARMED!

Amar, kubwa la maadui, bandidu, Mahita, Gewe, Tibaigana....tena Afande keshaanza kula milungula ya hatari haogopi chochote, sijui kama mambo hayatakua vice versa.
 
It was a very nice story,yaan siamin kama imeisha hongera ur a writer like no other,nimeenjoy kwa kweli n m lukn forward to read another story from u sweet lara
 
Yaani movie linaisha kama Prison Break, haijulikani wahusika wamekufa au wapo hai..... lara 1 acha tuchangechange ujipooze koo. Hii burudani mujarabu

Hahaaa! Yani huwezi amini nina KITU KIKALI HATARI. ila wasomaji wangu wengi hali zao kama fanani wao. Njaa inatumaliza sio fanani wala hadhira.
Natamani nikae nikishushe sema ndo vile tuttakula nini.
 
Lara 1 kwani tatizo nn . Weka namba ya mpesa. Wanaotuma ndo unawatumia stori inbox
 
Hahaaa! Yani huwezi amini nina KITU KIKALI HATARI. ila wasomaji wangu wengi hali zao kama fanani wao. Njaa inatumaliza sio fanani wala hadhira.
Natamani nikae nikishushe sema ndo vile tuttakula nini.
..
Shusha vitu.. Ntajiunga hata freemason..tutakula tu..
Magufuli ndo atajibu Cku ya mwisho.. C o kutunyima utamu hivi..
Shusha vitu tutoe stress
 
lara 1 nakukubali Kama Ronaldo...story nzuri Sana...

Ila wanawake sio wa kuwaamini 100% Kama ulimuiba kwa mtu.
 
Hahaaa! Yani huwezi amini nina KITU KIKALI HATARI. ila wasomaji wangu wengi hali zao kama fanani wao. Njaa inatumaliza sio fanani wala hadhira.
Natamani nikae nikishushe sema ndo vile tuttakula nini.
Aiii we were usitufanyie HVO jamani
 
Hahaaa! Yani huwezi amini nina KITU KIKALI HATARI. ila wasomaji wangu wengi hali zao kama fanani wao. Njaa inatumaliza sio fanani wala hadhira.
Natamani nikae nikishushe sema ndo vile tuttakula nini.
hahaha lara usitufanyie hivyo, tupe mambo mi mdg ako nakutoa cha weekend hii, lol
afadhali afande for once kafurahi kuwa na Sidney, story nzuri sana
 
Kwny hii story nimejiuliza huyu singa singa ambae anafanya ishu hatari hadi za kuuza silaha kwa magaidi sio yule wa ESCROW kweli maana yule nae hashikiki kabisa jamaa ana kibri hakuna wa kumgusa. viongozi wote kimya jamaa limepiga mabilioni. lara 1 hebu fafanua huyu wa kwny story hii hana uhusiano na huyu singa singa wetu?
 
Kwny hii story nimejiuliza huyu singa singa ambae anafanya ishu hatari hadi za kuuza silaha kwa magaidi sio yule wa ESCROW kweli maana yule nae hashikiki kabisa jamaa ana kibri hakuna wa kumgusa. viongozi wote kimya jamaa limepiga mabilioni. lara 1 hebu fafanua huyu wa kwny story hii hana uhusiano na huyu singa singa wetu?

Mi Simooo! Naandaa story ya kufungia mwaka huu.
 
Back
Top Bottom