Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,138
Muda unaenda wacha twende zetu makumbusho ;nikaona ni vyema tutakiane heri na fanaka bila kuwekana sawa kwenye uhai wetu..si wote wale wenzetu wanaolewa wanajishindwa kujihimili basi kumbuka hata zana kuweka mfukoni..yawezekana mwenzako (mlupo utakaemchomoa)amelewa lakini akikumbuka zana akusachi mfukon huna ...mkaamua vuka vuka lohh ...kama unajijua mdhaifu usiwe na aibu weka hio kitu mfukoni hata kama ukishindwa kumbuka mwenzako akikukumbusha basi uitoe mfukoni ...
Starehe njema
wathever u d dont over d it
Starehe njema
wathever u d dont over d it