Maana io pombe tu anayokunywa ikiingia mwilini jasho linakutoka na mwili unachemka plus mapigo ya moyo yanaongezeka!!Haya unajiudunga na redbull juu!!!Kuna Watu tatizo wanajionaga wajanja sana mjini kumbe washamba sana.huyo jamaa jamhuri ikimjua atafunguliwa kosa la kutaka kujiua