Consigliere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 12,037
- 24,595
Website ya Mpango wa taifa wa kudhitbiti UKIMWI imekuwa hacked by the unknown hacker, na kupelekea watumiaji wa mtandao huo kushindwa kupata taarifa mbali mbali.
Mtandao huo umekuwa ukitumiwa na wizara katika kutuma au kubadilisha na taarifa za kiufundi zinazohusiana na maambukizi ya HIV/AIDS ya wizara ya afya na wadau mbalimbali.
Tembela HacKeD By CompLeXx*
Mtandao huo umekuwa ukitumiwa na wizara katika kutuma au kubadilisha na taarifa za kiufundi zinazohusiana na maambukizi ya HIV/AIDS ya wizara ya afya na wadau mbalimbali.
Tembela HacKeD By CompLeXx*