Website ya Dar Young Africans-Yanga

Vipi Hii Site Dar Young Africans Ingekuwa vizuri kama watu wangeiupdate na kuifanya ya kisasa

Hiyo ni blog ya mashabiki wetu,inaendeshwa na mashabiki tu wenye mapenzi na Yanga,hii tunayoizungumzia ni Website ambayo itaendeshwa na klabu na itakuwa imejitosheleza kwa kila kitu kama ilivyo kwa klabu zilizo katika ligi za majuu....
 
Hiyo ni blog ya mashabiki wetu,inaendeshwa na mashabiki tu wenye mapenzi na Yanga,hii tunayoizungumzia ni Website ambayo itaendeshwa na klabu na itakuwa imejitosheleza kwa kila kitu kama ilivyo kwa klabu zilizo katika ligi za majuu....

Mkuu nimeingia kwenye website yenu, rangi inachosha macho, hamna utaratubu kwa kuibadilisha, halafu samahani imekaa kiccm sana.
 
Mkuu nimeingia kwenye website yenu, rangi inachosha macho, hamna utaratubu kwa kuibadilisha, halafu samahani imekaa kiccm sana.
Mkuu....

Website bado ipo kwenye majaribio na mpaka tunaanza next season itakuwa imeshakuwa bomba.......

Kuhusu rangi na kukaa ki CCM sana ni kwamba rangi rangi rasmi za timu yetu ya Yanga zinashabihiana na rangi za CCM,yaani kijani na njano so hakuna mbadala wa rangi nyingine.......Ni hizo hizo tu.....
 
Waheshimiwa,

Tuko wanne so far, na nadhani inabidi kazi ianze rasmi. Tayari tulianza discussion kidogo na Jimmy kuhusu hii kazi, na nadhani ni wakati sasa wa wajumbe wote kuanza kuchangia mawazo. Hapa chini naweka mawazo niliyonayo kuhusu hii kazi, na naomba na wengine mchangie kusudi kazi iendelee. tafadhali ipitieni na mtoe mawazo yenu, irekebishwe ili ije kuwa mwongozo wa hii kazi:
Mimi ni shabiki wa ile timu yenye makao yake pale mtaa wa Swahili, yaani Pan African SC, ila kwa wazo ili nakuunga mkono.

Pan African SC, will rise up again, as strong and well as they ever were... Will return to glory as a great Club of Africa...!
 


[h=1]YOUNG AFRICANS SPORTS CLUB[/h]





sl-2.jpg

sl-3.jpg


[h=3]CLUB HEAD QUARTERS - JANGWANI DAR ES SALAAM[/h]This is where all administrative activities are taking place.



sl-2_60_60.jpg

sl-4_60_60.jpg

sl-1_60_60.jpg

sl-3_60_60.jpg







[h=3]CLUB HIGHLIGHT[/h]
sam-5.jpg
Young Africans is one of the oldest football teams in East Africa, The Club was established in the year 1935. The club won Tanzania Premier League 18 times, Tanzania Cup 4 times and CECAFA cup 4 times.






You are here: Home





[h=1]YOUNG AFRICANS SPORTS CLUB[/h]
[h=2]MICHUANO YA UHAI CUP 2011[/h]Thu - 10 Nov Written by Administrator


ARTICLE HITS: 20 TIMES.
Timu 15 zinazoshiriki michuano ya mwaka huu ya Kombe la Uhai zimepangwa katika makundi matatu ambapo mechi zitachezwa katika viwanja viwili; Uwanja wa Karume na Uwanja wa Azam ulioko Chamazi, Mbande.

Mashindano hayo yanashirikisha timu zenye umri chini ya miaka 20 za klabu zote 14 za Ligi Kuu ya Vodacom wakati timu mwalikwa mwaka huu ni timu ya Taifa kwa vijana wenye umri chini ya miaka 17 (Serengeti Boys).

Mabingwa watetezi Ruvu Shooting Stars ndiyo wanaoongoza kundi A katika michuano hiyo inayodhaminiwa na Kampuni ya Said Salim Bakhresa kupitia bidhaa yake ya maji Uhai. Timu nyingine katika kundi hilo ni Oljoro JKT, Kagera Sugar, Azam na Mtibwa Sugar.

Read more...




[h=2]Asamoah,Berko waenda mapunzikoni.[/h]Tue - 08 Nov Written by Administrator


ARTICLE HITS: 23 TIMES
Wachezaji wa kimataifa kutoka nchini Ghana, Kenneth Asamoah na Yaw Berko wameondoka jijini Dar es Salaam alfajiri ya leo kwenda nchini Ghana kwa ajili ya mapunziko ya muda mfupi. Wachezaji hao wameondoka baada ya Uongozi wa mabingwa wa soka kwa nchi za Afrika Mashariki na Kati kutoa mapunziko ya wiki tatu kabla ya kuingia katika hatua nyingine ya mzunguko wa ligi kuu pamoja na michuano ya kimataifa inayoikabili Klabu ya Yanga ikiwemo mashindano ya Klabu Bingwa barani Afrika na michuano ya Kombe la Kagame. Akizungumza nawww.youngafricans.co.tz , Afisa Habari wa Klabu ya Yanga,
Read more...




[h=2]UHAI CUP kuanza tarehe11/11/11 katika Uwanja wa Azam FC - Mbande[/h]Tue - 08 Nov Written by Administrator


ARTICLE HITS: 9 TIMES
Ligi ya vijana chini ya miaka 20 UHAI CUP inatazamiwa kuanza tarehe 11/11/11 katika Uwanja wa Azam FC - Mbande.
Ligi hiyo itashirikisha jumla ya timu 14 ambazo timu zao za wakubwa zinashiriki ligi kuu Tanzania Bara, timu hizo ni:
1.Young Africans B ,
2.Simba SC B,
3.Azam SC B,
4.Mtibwa Sugar B,
5.JKT Oljoro B,
6.Villa Squad B,
7.Moro United B,
8.African Lyon B,
9.Coastal Union B,
10.JKT Ruvu B,
Read more...



ynga_185_115.png

[h=2]YANGA KUIVAA POLISI DODOMA[/h]Sat - 05 Nov Written by Administrator


Kikosi cha mabingwa wa ligi kuu Tanzania Bara leo kinatarajiwa kushuka dimbani kucheza na Police Tanzania katika mchezo wa ligi kuu ya VPL 2011/2012.
Mchezo huo utakuwa ni kumalzia mzunguko wa kwanza kwa timu zote amabapo Yanga ina point 24 ikiwa na nafasi ya pili na Police Tanzania ni ya 13 ikiwa na point 9.

Read more...




[h=2]MORE ARTICLES...[/h]
Page 1 of 2


[h=3]OUR SPONSORS[/h]
sponsors.jpg


adv.png







  • [h=3]FACEBOOK PAGE[/h]
  • [h=3]TWITTER FEEDS[/h]


from:yanga1935 - Twitter Search
yanga1935: WABUNGE wanachama wa klabu ya Young Africans waliopo mjini Dodoma,wanakutana katika ukumbi wa BUNGE kujadili maendeleo ya klabu mchana huu.
yanga1935: Check this video out -- YANGA vs SIMBA - VODACOM PREMIER LEAGUEhttp://t.co/Fgo918MJ via @youtube
yanga1935: All the best Taifa Stars against Chad!
yanga1935: I'm booking my next stay @DoubleTree by Hilton with a Facebook exclusive deal as sweet as their chocolate chip cookies!DoubleTree by Hilton | Facebook
yanga1935: UHAI CUP 2011/2012 Young Africans SC (Black Stars U-20) Vs Moro United U-20 kick-off 14:00hrs @Azam FC Stadium - Mbande








0.png
0.png
0.png
3.png
2.png
1.png

vtoday.png
Today218
vyesterday.png
Yesterday32
vweek.png
This week321
vlweek.png
Last week0
vmonth.png
This month321
vlmonth.png
Last month0
vall.png
All days321

We have: 3 guests online
Your IP: 197.250.28.103
Chrome 15.0.874.120, Windows
Today: Nov 18, 2011
Visitors Counter



50YRS.png


[h=3]OTHER LINKS[/h]www.fifa.comwww.uefa.com
www.concaf.com
www.cafonline.com
www.the-afc.com
www.tff.or.tz








Copyright © 2011 YOUNG AFRICANS SPORTS CLUB - All Rights Reserved


 
Maendeleo. Wamepanda chati bwana tika kufadhili kamati ya ufundi mpaka website ya club
 
...Ebana Balantanda, mie nilikuwa natafuta sana lile dude la Pepe Kalle linaitwa "Yanga Afrika" nadhani unajua jinsi linavyo flow....lakini halipatikani kwenye youtube, ukilipata liweke hapa hahahahaha nitafurahi sana chamaa! Obligado.
Kitu noma hicho mkuu.
 
Je kuna anayefahamu asili ya Yanga kufananishwa (au kuitwa) kandambili?

Ilikuwa kuwaje, na ilikuwa mwaka gani?
 
Back
Top Bottom