Ndugu Ckabula, ni waandikia barua ubalozi wa tanzania washongton na kopi yake ilikwenda wizara ya mambo ya nje,Mpaka leo hakuna marekebisho yoyote waliyo fanya. Nadhani mimi ndiye niko wrong ina wezekana wanaona sawa na data zao walizo ziweka kwenye li website lao ambalo wametengenezewa na muhindi.