Tumsifu Samwel
JF-Expert Member
- Jul 30, 2007
- 1,408
- 163
Hizi tambi na makaroti mengi namana hiyo ndo traditional food?
Walikosa unga wa mahindi? si wangeweka hata nguna la maana hapo na bamia kiaina?
Ndugu si unajua hii Nji inavyo endeshwa? ndio maana wakenya wanatuona wajinga wakutupwa hadi wanatangaza mlima wa Kilimanjaro huko kwao,sisi tuna baki kusema Ndombolo ni mziki wa asili ya Tanzania.... Hivi jamani kazi ya balozi si ni kuwakilisha nchi na kutanganza nchi?Mimi sina uhakika kama kuna watu kule walishawahi kuishi Tanzania. Inawezekana ndio wale wanaopigwa juu kwa juu toka wamezaliwa na mazingira halisi hawayajui si afadhali basi wangeliweka bongo ya fleva kama hawana rhumba za kitanzania? kuna msondo,kuna achimenengule wa wa wa na kuna goma la ukae sikinde kuna boso kuna masika zole zole wa zole langa yaani masikhara kwelikweli. Naam kwanini waamue kwamba muziki wa kikongo ndio asili yetu hawa jamaa hawana mtu wa utamaduni nini au ndio mazabe yenyewe digrii feki na akili feki!
kuna mahali wametaja majina ya wanamuziki......Judith wambura na Lady J Dee..kama watu wawili tofauti.
Ni A.K.A , mkuuThe music industry in Tanzania has evolved over the years. Due to the mixture of various cultures in Tanzania, native music is morphing into new music that is a combination of the old, new and imported sounds and rythms. Tanzanian musicians are among the the best in Eastern Africa. You have legendary artists such as RemyOngala, Dionys Mbilinyi, Sabinus Komba, Siti binti Saad, Bi Kidude, Saida Karoli, Hukwe Zawose Nasibu Mwanukuzi aka Ras Nas, Jah Kimbuteh and many others. You also have new vibrant artists such as Imani Sanga, Judith Daines Wambura Mbibo aka Lady Jaydee, Rose Mhando, Joseph Haule aka Professor Jay, Ray C, Saleh Jaber aka Saleh J, Joseph Mbilinyi aka Sugu/ Mr. II/ 2-proud and many more.
kuna mahali wametaja majina ya wanamuziki......Judith wambura na Lady J Dee..kama watu wawili tofauti.
Hawa ndio wawakilishi wetu ubalozini, nina wasiwasi iko siku mtu ataenda ubalozini na kuuliza mambo muhimu ya nchi na wakashindwa kumjibu maana hawa ni bure kabisa.Judith Daines Wambura Mbibo aka Lady Jaydee
jamani kumbe gongo ni official???????????/ mi naanza sasa kusaka uwakala wa kuimport gongo uku majuuu............... uwiiiiiiiiiiiiiiiii................ aibuuuuuuuuu.............
Wala tembere hamna,labda sio vyakula vya asili ya Tanzania!Ugali wa muhogo na mboga ya mlenda hamna humo?