Offshore Seamen
JF-Expert Member
- Mar 9, 2018
- 5,678
- 14,563
Hawanipati kabisa, hizo website kwangu hawajawahi kujibu hata nafasi moja.
Hawanipati kabisa, hizo website kwangu hawajawahi kujibu hata nafasi moja.
Unistore JobsLeo nakuletea website tano bora zenye habari za ajira, kaa na mimi.
1. Storikka - storikka.co.tz
2. Mabumbe
3. Ajiraleo - ajiraleo.com
4. Brightermonday - brightermonday.co.tz
5. Ajiraportal - ajiraportal.ac.tz
Ongezea na za kwako.
Dah me nliwapaga na kazi website yao uwa naaply ila miaka mi3 leo sijawai itwa ata kwenda kufagia
MuraaaMtaalamu wa maswala haya Pyepyepye nikweli haya
Kuomba kazi nyingi sio ishu.Brightmonday hakuna kitu apo bro na jamaa angu ameapply zaidi ya mara 100 na hajawai itwa
wewe mkuu kumbe unawajua vizuri ni wasanii wale.
Brighter monday na mabumbe ndio wapo vizuri.brightermonday mizinguo tu pale. Kupata kazi kupitia wao ni ngumu sana lazma uwe na connection. ila Mabumbe ndo naona ipo vizuri kwa sasa
Kweli wanaboa hata mimi nishawahi kuitwa kwenye interview moja kwenye NGO kubwa tu hr alitaka kesho niende interview wakati anafahamu mahali ninapokaa na ninapoenda kwenye interview ni tofauti inanibidi nisafiri nikapotezea tuHao Mabunde sometime wanapost fake vacancy!Kuna site kama EmpowerRecruitment,CVpeople,Raddar recruitment,BlueRecruitment,KP recruitment ,Zoom Tanzania,Ajiriwa.net ,MkaguziBlog.com.
Ila sijawahi pata kazi wala tender pitia hawa recruitment mara nyingi kupata tender au kazi ni struggle zangu.
Kupitia Ajiriwa.net nishapataga interview TPB Bank,CRDB,KP nishapata interview ,Empower washanipigia mara nyingi lakini sijawai enda kwenye interview zao,Zoom Tanzania nishapata interview kama 3 ,the same as Raddar recruitment washanipigia mara kibao ila sijawai enda kwenye interview zao.
Sipendi recruitment anayepiga sim harafu hasemi kampuni unayoenda kupigiwa interview ni kampuni gani na inahusika na nini ndio maana sometime napotezea interview,Sipedi recruiter anakupigia sim harafu ana force kesho uje kwa interview,sipendi blog zinazopost kazi au tender harafu haziweki official email mfano unasikia wameweka hr.gfconsultancy@gmail.com au yahoo hapo hiyo kazi au tender situmi maombi kabisa mara nyingi ni fake vacancy au matapeli.
Brighter Monday me hua siwaaminUnistore Jobs
Brightmonday hakuna kitu apo bro na jamaa angu ameapply zaidi ya mara 100 na hajawai itwa