Website designing

Website designing

babumufty

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2011
Posts
223
Reaction score
77
Hy jamani nilikua naomba mnisaidie software yaku design website bila ya ku2mia HTML code.so ambayo inaji code yenyewe.nakabizi kwenu
 
mkuu tumia wordpress its easy na utatengeneza website nzuri.

Kwa kuanzia nenda wordpress.com kaanze huku ukijifunza namna ya kuhost
 
NAKUSHAURI tumia notepad ++ halafu penda code aise
 
Dah achakua na imani hzo nani kakwambia cpendi code tayari nazijua hii ni katika harakati zakujua na kujenga ki2 kizuri zaidi
 
NAKUSHAURI tumia notepad halafu penda code aise

umenitangulia, sijui kwanini wabongo hatupendi kumiza vichwa, wenzetu weupe wanaumiza sana vichwa ndo maana wanafanikiwa hata kuandika programs za kudesign website pasipo kutumia code na html tags, mi website zangu zote nimezidesign kwa notepad kwa sababu inanipa uhuru mkubwa hasa kwenye html5 kuna mambo mengi ambayo kwenye program za kudesign website hazi support html5
 
Angalia sasa namna ulivyoniharibia biashara yangu tarehe 9 september 2012 yaani mwaka uliopita katika post yako namba 2 kama unavyoweza kuisoma katika uzi huu: https://www.jamiiforums.com/tech-ga...geneza-tovuti-ya-mchungaji-paulo-fadhili.html

Mpaka leo sijawahi kutengeneza site hiyo. Leo unasema iko okay kwa wote hadi PROFESSIONALS!!!!!!!!!!!!

tatizo la graphic designing, limit is ur imagination, na kuwa na silaha kubwa haimaanishi utaweza kuua, ukiitumia artisteer vizuri unatoa kitu kizuri tu
 
Jibu lako ni laini sana tofauti na swali langu. Ikiwa unaikubali hivyo artisteer kwanini hukuni-support hivyo katika thread ile?, kinyume chake ulipondea na mteja (wateja) wangu akakimbia.

LAZIMA UJUWE NAMNA YA KUCHANGIA BAADHI YA nyuzi zinazoletwa hapa. Kama tunakurupuka tu from no where na kuchangia utumbo pasipohitaji utumbo tujuwe tunawaharibia wengine maisha na ndoto zao bila sababu.

tatizo la graphic designing, limit is ur imagination, na kuwa na silaha kubwa haimaanishi utaweza kuua, ukiitumia artisteer vizuri unatoa kitu kizuri tu
 
Jibu lako ni laini sana tofauti na swali langu. Ikiwa unaikubali hivyo artisteer kwanini hukuni-support hivyo katika thread ile?, kinyume chake ulipondea na mteja (wateja) wangu akakimbia.

LAZIMA UJUWE NAMNA YA KUCHANGIA BAADHI YA nyuzi zinazoletwa hapa. Kama tunakurupuka tu from no where na kuchangia utumbo pasipohitaji utumbo tujuwe tunawaharibia wengine maisha na ndoto zao bila sababu.

mambo mengine uwe unakuja pm kupata siri za kutoka, sio kila kitu hapa mkuu fadhili
 
Mkuu, hongera sana kama ulishatoka.
Itakuwa vizuri sana kama utazimwaga hapa hadharani hizo siri za kutoka mkuu, kwani naamini kuna members wengi sana humu wanaozihitaji pia hizo siri, haitakuwa uungwana kunipendelea mimi peke yangu kiasi hicho.

Mwaga hapa tu Mkuu kwa manufaa ya wengi.

mambo mengine uwe unakuja pm kupata siri za kutoka, sio kila kitu hapa mkuu fadhili
 
Back
Top Bottom