Webhost Host Gani anahuduma nzuri

Webhost Host Gani anahuduma nzuri

Bongo wote ni mawakala lakini wapo waliofresh. Sidhani kama kuna competitor wa extremeweb hapa bongo. Cha muhimu unatakiwa kutumia kampuni iliyosajiliwa. Hao wanaosema $2 au 1 kwa mwezi bado ukifanya kwa mwaka bei ni ile ile ya hapa bongo. Pia wanabana kwenye monthly BW na services zingine

extreme wana nini cha ajabu? Hamna kitu hapo. Uwa nanunua domain kwao . Siku moja nawapigia simu wanibadilie nameserver wanatoa macho tu wananiambia eti domain haijawa registered na wao. Nikasema hawa vilaza kweli.
 
Habari za sahivi wanajamii Naomba niulize Ni host gani ambaye ni mzuri na cheap nimehost site na Godaddy lakini ni majanga zaidi ya majanga. Website yangu inatakiwa kuwa online 24/7 afu nahtaji unlimited bandwith pamojana unlimited disk space please recomend.
Msamiati C6 Stefano Mtangoo Nyasiro

mie bana nikwambie kitu mkuu, hamna host mzuri throughout a year. Wengi wazuri wakiwa wanaanza ila mbele huko inakuwa majanga.

pia inategemea your needs. Ingia webhostingtalk.com utapata review za host wengi. Tena kuanzia domain, reseller, dedicated, kila aina. Utashindwa ww tu.

Ila mie uwa nawapa kipaumbele wanaotumia cpanel/whm kisha criteria zingine zinafata.
 
Habari za sahivi wanajamii Naomba niulize Ni host gani ambaye ni mzuri na cheap nimehost site na Godaddy lakini ni majanga zaidi ya majanga. Website yangu inatakiwa kuwa online 24/7 afu nahtaji unlimited bandwith pamojana unlimited disk space please recomend.
Msamiati C6 Stefano Mtangoo Nyasiro

Nimewahi ku host web application nchini China, Hongkong , USA na EU.

Wadau wa USA wako vizuri zaidi.

Nakushauri utumie service ya hawa wadau
Hosting | Web Hosting by Arvixe

Wako vizuri sana
 
Habari za sahivi wanajamii Naomba niulize Ni host gani ambaye ni mzuri na cheap nimehost site na Godaddy lakini ni majanga zaidi ya majanga. Website yangu inatakiwa kuwa online 24/7 afu nahtaji unlimited bandwith pamojana unlimited disk space please recomend.

Mimi naungana na chief-mkwawa Jaribu ASP.NET Hosting with Advance Control Panel jamaa wana 2 month full functionality trial mimi nilishatest nikaridhika nao, tumia hiyo trial then utajua kama unaweza kuendelea nao au hawatakufaa.
 
extreme wana nini cha ajabu? Hamna kitu hapo. Uwa nanunua domain kwao . Siku moja nawapigia simu wanibadilie nameserver wanatoa macho tu wananiambia eti domain haijawa registered na wao. Nikasema hawa vilaza kweli.

not true.. sifanyi promo ila unachokisema maybe................
 
Last edited by a moderator:
not true.. sifanyi promo ila unachokisema maybe................
sio maybe bro, ndioo nnaponunua domain za dot tz so nawafahamu hawa jamaa, mie kama watu wanafanya poa nawapa heko zao kama hamna kitu nasema tu. ni wakawaida sana.
 
mkuu ni PM mi naweza kukuhostia for just 50,000 tsh per year

0787999851
 
Nilikuwa nikinunua kwao domain mara ya kwanza, yaani kuna wakati walitumia wiki nzima kununulia domain moja yaani ni shida tupu sijuwi kama wamejirekebisha siku hizi maana wiki 2 zilizopita nimenunua kwao tena na waliiweka hewani siku hiyo hiyo. Kuna urasimu kidogo pale.

sio maybe bro, ndioo nnaponunua domain za dot tz so nawafahamu hawa jamaa, mie kama watu wanafanya poa nawapa heko zao kama hamna kitu nasema tu. ni wakawaida sana.
 
Nilikuwa nikinunua kwao domain mara ya kwanza, yaani kuna wakati walitumia wiki nzima kununulia domain moja yaani ni shida tupu sijuwi kama wamejirekebisha siku hizi maana wiki 2 zilizopita nimenunua kwao tena na waliiweka hewani siku hiyo hiyo. Kuna urasimu kidogo pale.

hamna kitu pale, wana activate domain manually
 
Kuna hawa wazohost Pia ni wazuri sana, unanunua domain au hosting na kulipia kwa simu.. Dakika hiyo hiyo unapata service moja kwa moja automatically.
 
Back
Top Bottom