"we ua tu baba ..si ndoa yako hii!!"


Ninakuelewa mkuu unachokisema! Mimi nina expirience zote mbili ndo maana nasema kuwa kuna kipindi inabidi wapigwe ila sio kila time, na ni kutokana na mwanamke na mwanamke! Na kingine pia mimi piga ninayoiongelea ni ya kunyamazisha tu kofi moja akae kimya asipokaa kimya mi ntaondoka zangu cause otherwise ntaua aiseeee au mwanamke nimpige naye anarudishia ntamjeruhi na hiyo ndio mwisho kesho yakeatakua anakusanya chakeanaenda kwao kwakua mimi najijua nilivyo na nini nakiaminikuhusu uhusiano wa mwanamke na mwanaume, mipaka inayopaswa kuwepo na vitu kama hivyo! Ukimchapa mwanamke ni kumtia fahamu asidhani anabishana na mashoga zake huko lakini sio kupiga kama mwizi!

Umenikumbusha kitu miaka kadhaa iliyopita kuna jirani yangu Kigoma huko alikua akigombana na mke wake hadi wanapigana na michi ya kutwangia ile, siku moja katoka hadi nje wanakimbizana na shoka! Hiyo ni too much! Hiyo hata mimi siiafiki. Salute mkuu
 
Tabia ya mtu mwenye miaka 34 utaibadilisha kwa kumpiga?
Au unavyompiga unajisikia nafuu kwakuwa umerevenge?
What exactly is the objective ya kumpiga mtu mzima?

 

Sasa mwanamke kama huyo si amenunua kesi mwenyewe jamani? Khaaaa! Na nakuhakikishia mkuu ukimkunja vizuri harudii tena, huwezi kunipanda kichwani mwanaume mzima na dingdong zangu mbili
 
Kaunga

Tabia ya mtu mwenye miaka 34 utaibadilisha kwa kumpiga?

-Kama ndio tabia yake huwezi kumbadilisha ila utaipunguza, kama mashosti ndo walimpump huko saluni akufanyie hivyo NAKUAPIA HATARUDIA TENA.

Au unavyompiga unajisikia nafuu kwakuwa umerevenge?

-Anayempiga mkewe kurevenge naye ni mwanamke tu! Kitendo cha kushindana nae tu unakua ushajiweka kundi moja na yeye! Afterall kuna njia nyingi za kurevenge kwa mkeo kuliko kupiga

What exactly is the objective ya kumpiga mtu mzima

-1.Kuonyesha dissappointment yako to the max
-2.Kumuonya kuwa akirudia tena hiki ndio kitakachompata
-3.Kukumbushia tu kuwa mimi ni baba(tena baba yake ndo maana huwa wanabadili majina)
-4.Kumkumbusha kuwa kuna njia nyingine ya kuwasilisha malalamiko yake bila kunidhalilisha
 
Last edited by a moderator:
Acha wapigwe tu wamezidi midomo na wengine ni sumbua kichwa
 
Last edited by a moderator:
-1. Sounds more like reaction, waweza onesha hiyo dissappointment kwa kuongea naye when she is calm n sober as two adults.
-2. Ni njia ya revenge tu hiyo na vitisho, inaonesha jinsi gani umeshindwa kueleweka Kigoma.
-3. Sounds like unaji-provia wewe mwenyewe kuwa ni baba kuliko kum-provia yeye. Sifa za baba ni kuprovide, kulead, kupenda na kutunza familia (sio kupiga na wala haijawa njia ya kufanya hayo yote).
-4. Ulitakiwa nawe kukumbuka kuwa hiyo primitive way ya kumkumbusha kwa kipigo haijaweza fanya kazi kamwe; dialogue is the way to go.
 
ni fimbo moja tu, inayoruhusiwa kumpiga mwanamke!

Ha ha ha, tena kwenye crit..

I just love the way you two think...hiyo ndio solution ya mwanamke mkorofi, unahakikisha hasira zote unazihamishia kwenye magic stick...hakuna siku utasikia anapiga kelele tena maana anajua kisusumbe chake...
mwanaume hasifikiwi kupiga, la sivyo kina Evander wasingeoa lol..
 


Kueleweka Kigoma? sorry...
 
So you are not superior ndio maana unajihakikishia kuwa wewe ni superior, Mungu wangu pole sana. Ndio maana walisema violent people are very inferior; umenihakikishia Leo.
Umenena vyema dada K,kwa nini kumpigana mkeo kama kweli unampenda? hata kama amekuudhii vipi , sio jambo la maana kuanza kumshushia makofi na mangumi tena wakati mwingine mbele ya watoto au hadharani , je ukimtoa jicho mtoto wa watu? utasema wewe ni superior? kwanza kumpiga mwanamke ni ushamba fulani na kutokustrabika katika zama hizi.Pia kuna wanaume wapumbavu ambo huvunja ndoa zao kwa sababu ya kuwa na ngubu, kitu kidogo tu kofi au ngumi imeisha mtoka jibaba,
 
Pia huu uzi , umenifanya unikumbushe jirani yangu ambaye ni msomi mzuri na ana watoto wakubwa tu wawill mmoja kamaliza chuo last year na mwingine yuko chuo second year. Huyu bwana ni ngumi na makofi nje nje kwa mkewe haijalishi wako sehemu ngani wawe ndani kwao au nje. Huyu jamaa ana kibaa chake karibia na hapo nyumbani kwako , basi kuna siku alimpa kichapo mkewe mbele ya watu hapo kwenye hicho kibaa chao kwa kisa cha kijinga jinga tu,yaani kwa ufupi huwa anamdhalilisha kwa kichapo. Kusema kweli si busara na hekima kwa watu katika ndoa kupigana mbele za watoto au adharani. Wanaume tusikubali kuongozwa na hasira kwani siku zote hasira ni hasara. Baada ya hasira kuisha mwite mkeo mkae chini msuruhishe mtafaruku uliotokea lakini sio kukimbilia kupiga , unaweza kuua siku moja, badilika
 
hivi mume atoke tu anipige????? Uwiiiiiii Mola aepushe maana kama kuna kisu, tofali, sufuria, panga litamhusu
 

Ni sahihi, pengine unalazimika kukasirika na hatimae ukaishia kumzaba kibao mke. Ila wapo wanawake ukimwasha kofi moja ndio umeamsha tafrani. Ataibuka na mitusi ya kukufedhehesha, yapo makabila hakika wanawake wameumbwa bila aibu wala adabu, wao kutukana, kupigana ni jadi yao. Hivi navyoandika nimepita karibu na nyumba fulani namsikia mwanamke akiporomosha mitusi, nasikiliza kumbe anamtusi jamaa wa nyumba ya jirani (jirani yake) wamepakana nyumba. Kisa eti huyo mwanamke kaona maji yanemwagwa kupitia juu ya ukuta na yamemwagikia kwenye eneo lake. Anamwaga mitusi balaaaa ni ile mitusi ambayo kama una shetani la kuchapana huwezi kunmwachia...nasikia mumewe anamsihi lakini mama anajibu "na wewe uache u.fa.la.wamezoea hawa halafu we unatetea ujinga".'Kazi ipo!
 
Unapigwa vizuri sana! Tena makofi ndo dawa yao ili kumuonyesha kuwa nani ni superior kati yenu! Tena kama wewe unayejidai mbishi ndo mzuri kweli....

wanaume wasiojiamini hukimbilia kupiga, hudhani heshima hujengwa na kipigo..... Kama una nguvu sana si ukalime? Au upande jukwaani na kina matumla utumie nguvu zako kupata kipato? Au huna nguvu za kupigana na wanaume wenzio?
 

Ni sahihi, pengine unalazimika kukasirika na hatimae ukaishia kumzaba kibao mke. Ila wapo wanawake ukimwasha kofi moja ndio umeamsha tafrani. Ataibuka na mitusi ya kukufedhehesha, yapo makabila hakika wanawake wameumbwa bila aibu wala adabu, wao kutukana, kupigana ni jadi yao. Hivi navyoandika nimepita karibu na nyumba fulani namsikia mwanamke akiporomosha mitusi, nasikiliza kumbe anamtusi jamaa wa nyumba ya jirani (jirani yake) wamepakana nyumba. Kisa eti huyo mwanamke kaona maji yanemwagwa kupitia juu ya ukuta na yamemwagikia kwenye eneo lake. Anamwaga mitusi balaaaa ni ile mitusi ambayo kama una shetani la kuchapana huwezi kumwachia...nasikia mumewe anamsihi lakini mama anajibu "na wewe uache u.fa.la.wamezoea hawa halafu we unatetea ujinga".'Kazi ipo!
 
Si unajua smart phones zinavyojifanya smart; hata sikumbuki ni neno gani nililomaanisha.

Mambo lkn? Huwa unampiga wifi yangu?


Nampiga soft slaps...lol
nisipompiga analia lol
 
hivi mume atoke tu anipige????? Uwiiiiiii Mola aepushe maana kama kuna kisu, tofali, sufuria, panga litamhusu

Na yeye kisu si anakiona? Panga na sufuria analiona pia! Umenikumbusha long time kitambo mtemi mmoja shule o-level alinikuta nimesimama zangu sehemu akanikata mtama, nikapepesa macho nikaona jiwe nikainama kuokota. Nilipoinuka nikakuta yeye kashika kubwa zaidi ya langu. Nikaona isiwe tabu nikalitupa huko nikaondoka zangu. Ila nammind mpaka leo (25 yrs later), nitamrudishia tu siku moja japo sio kwa mtama wala jiwe!!!
 
Makofi mawili matatu lazima yawepo,atajuaje kama nampenda?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…