We mama we!! Mtoto huyo!!!

We mama we!! Mtoto huyo!!!

NAPITA

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
5,077
Reaction score
2,248
MAMA.jpeg
[h=4]Mawazo yote yameishia kwenye Mpira.[/h]
 
mwili wote umetetemeka ...jamani wewe mama mtoe huyo mtoto
 
Mungu anusuru kichanga jamEnii, hapo goli likitinga na washangilaji wakijimwaga na kuparamia gari sijui nini TENA !!!! Onw move tuu !! hadithi itakuwa ingineee!
 
Tunaposema sehemu hatarishi ndo kama hizo sasa.
 
Sijui amemchoka huyo mtoto hii inaweza ikawa staili ya kumtupa Mola amnusuru kwa hakika
 
wamama wengine wanashindwa hata na paka jinsi ya kulea aaaaaaaaaaah,ila ukiangalia ni upendo ataki mwanae apigwe najua
 
Basi hapo kuna watu wangeweza kuingiza mpaka siasa.......ungeweza kusikia CCM/CDM ndo wanamambo ya kihivi!!
 
Wee Mama Wewe, Moyo umetaka kunitoka, Hivi alifikiria kweli kuona hicho ndio kivuli cha kumlaza Mtoto?????

Au sio wake?????

Roho inauma jameni
 
View attachment 109624
Mawazo yote yameishia kwenye Mpira.
Duh salale......alafu utasikia..miaka 15 ijayo anajifanya ana uchungu..sana na mwanae...hasa pale anapotangazwa arusini na mC......"Mama wa bibi arusi asimame jaman"" vigelegele..vingi kumbe alishindwa hata na paka aleavyo watoto wake kwa usalama.....Pumbafu kabisa....!! "mtoto kwa mama ni kidonda kwa bibi ni kovu" huyu si wake..labda bibi yake
 
msilielie sana hiyo gari lazima imewekwa kigogo/jiwe kwenye matairi ya nyuma. bila kuwekwa kigogo ama jiwe mama asingekua na amani huyo
 
Back
Top Bottom