City Of Lies
Platinum Member
- Sep 8, 2011
- 6,073
- 7,981
Ni pigo kubwa sana kwa chawa, kimetokea wasichotarajia.Na hutaelewa sababu kuna upande ambao umechagua kufikiria! Matamanio yako hayajitimia kisa tu watu flani wataandamana ukajawa na chuki ukaunyima ubongo wako nafasi ya kufuatilia nini hasa dhamira au takwa la maandamano husika! Ndio mana unakuja na rhetoric questions kama hii
Acha kufikiria ujingaujinga. Tungekuagiza udai uhuru ungeweza wewe?Kifordoko kabisa!Mwanasiasa sio mtu wa kumuamini hata siku moja.
Kwa utulivu wa haya maandamano wala sitostaajabu ikiwa yameratibiwa na CCM kuonyesha kuna demokrasia.
Mbowe keshakunja mtonyo wake kazuga kupeleka watoto mbele.
Tanzania hakuna upinzani vyama vyote ni matawi ya CCM na viongoz wa upinzani wote ni vibaraka wa CCM.
Maandamano kama ulaya yana utulivu ni hatua kubwa. sasa tuone usikivu wa serikali kwa matamanio ya wananchi.Acha mawazo ya hivyo.ulitaka watu wauawe ndio ujue ni maandamano ya amani. Wanaoumiza watu ni wale wasiopenda amani ni hiyo nikwasababu wanakua hawajiamini kama wamefanya maendeleo kwa wananchi. Na dunia ya leo achana na tabia yakuamini mtu,sikiliza hoja zake kama zina mashiko zizingatie. CCM kamwe hawawezi kuratibu jambo linalowavua nguo.
Hivi hawakushikana mikono kuonyesha solidarity?Viongozi wakuu wote wameshiriki akiwemo Lisu tuliyeambiwa ana ugomvi na Mbowe
Mbowe kuchukua watoto wote kuwapeleka front
Unachoelewa wewe ni kushikishwa ukuta, kunyonyeshwa bolo na kuliwa kinyeo basi, mengine hutayajua. Vunga tu dada!Mimi mpaka leo dijaelewa, hayo maandamano yalihusu nini?
Huyu mnaemwambia kavurugwa yupo sahihi ila inachukua muda mrefu sana kuamini hilo au kamwe msiamini/msigundue kabisa mpaka mnakufaHebu tulia kwanza kama umevurugwa vile
Humu jamvini kimya ; unajua kwanini? Chadema wamecheza kama Pele katika angle zote
1. Viongozi wakuu wote wameshiriki akiwemo Lisu tuliyeambiwa ana ugomvi na Mbowe
2. Tuliambiwa watoto wao nao washiriki maandamo; Mbowe kuchukua watoto wote kuwapeleka front
3. Tuliambiwa maandamano ni vurugu,hakuna vurugu mwanzo mwisho.
4. Tuliambiwa wanaoandamana wanafikiri kwa kutumia nyayo; polisi na mkuu wa Mkoa wameandamana kila mmoja kwa njia yake sambamba na waandishi wa habari sidhani kama Nchimbi anaamini jeshi la polisi wanatumia nyayo kufikiri wala wana habari
5. Tuliambiwa maandamano yanalenga kupambana na SSH, maandamano yamejikita kwenye kero za wananchi.
6. Tuliambiwa maandamano hayaleti msosi mezani; wanasiasa wameona mabango yanavyoreflect maisha ya wapiga kura. Wapo busy kutatua kero ikiwemo kushusha bei ya sukari ambayo kabla ya kusikia maandamano hakukuwa hata na kauli ya bei elekezi
7. Tukaambiwa Watanzania hawataki maandamano, wenye dola wameona mwitikio ulivyokuwa mkubwa. Wametambua Watanzania wanaelewa wanataka nini.
8. Tukaambiwa na viongozi, wakae kwenye mazungumzo. Natumai wameona mazungumzo ya umma yalivyo na nguvu kuliko mazungumzo ya siri ya wanasiasa
9. Tukaambiwa polisi watafanya usafi, RC kaishia kufanya yeye usafi polisi wamemkataa
10. Tukaambiwa ni utekelezaji wa 4R, umma unasema hakuna 4R za mashinikizo . 4r ni kuruhusu mifumo ya sheria ifumuliwe tuache kuvumiliana na kuheshimiana kwa nguvu ya dola tuheshimiane kwa kuzingatia katiba na sheria.
Akili kubwa. Na ndivyo ilivyo!Mwanasiasa sio mtu wa kumuamini hata siku moja.
Kwa utulivu wa haya maandamano wala sitostaajabu ikiwa yameratibiwa na CCM kuonyesha kuna demokrasia.
Mbowe keshakunja mtonyo wake kazuga kupeleka watoto mbele.
Tanzania hakuna upinzani vyama vyote ni matawi ya CCM na viongoz wa upinzani wote ni vibaraka wa CCM.
Mama aondoe miswaada feki Bungeni hii inaenda kuwa zaidi ya 2015✌️✌️✌️Hahahshaaaaaa 2015
Sisi tunajua yaliyojiri hadi ccm samia na muliro, wakaingiza mkia matakoni.Mwanasiasa sio mtu wa kumuamini hata siku moja.
Kwa utulivu wa haya maandamano wala sitostaajabu ikiwa yameratibiwa na CCM kuonyesha kuna demokrasia.
Mbowe keshakunja mtonyo wake kazuga kupeleka watoto mbele.
Tanzania hakuna upinzani vyama vyote ni matawi ya CCM na viongoz wa upinzani wote ni vibaraka wa CCM.
Umeamua kubadili gia angani sio?Mwanasiasa sio mtu wa kumuamini hata siku moja.
Kwa utulivu wa haya maandamano wala sitostaajabu ikiwa yameratibiwa na CCM kuonyesha kuna demokrasia.
Mbowe keshakunja mtonyo wake kazuga kupeleka watoto mbele.
Tanzania hakuna upinzani vyama vyote ni matawi ya CCM na viongoz wa upinzani wote ni vibaraka wa CCM.
2020 mlisema hivyo hivyo....unaumia ukiwa wapi ndugu?Mi ninachoamin CCM inacheza hesabu kali sana. Kwanza Mambo mengi sasa hiv hayaend sawa so kila cku wanatafuta kitu cha kufanya ili watanzania wabaki kukizungumzia wasahau shida zao. Pili. CCM naamin wanacheza na chadema. Wanawaachia waseme kila kitu mpaka viishe halafu 2025 watakuwa hawana hoja mpya na hiz zilizoibuliwa zitakuwa baadhi washazitafutia majibu. Tatu. ukiangalia kwa jicho la tatu utagundua ni kama vile CCM kuna kamsuguano flan wa chini chini so Mama anaona watu wa kumsaidia ni chadema so wanapewa pande flan inakuwa ni agenda ili kuwaweka watu flan bize wamsahau Mama apumue. Ni mtizamo tu Lakin.
Naunga mkono hoja
P
Wasio wanasiasa wamefanya nini, wamezimiwa umeme, gharama za maisha zimepanda, bandari imeuzwa? Mmefanya nini?Mwanasiasa sio mtu wa kumuamini hata siku moja.
Sawa kabisa vipi na kuhusu kufanya usafi kwa wanajeshi na polisi ,usafi ambao uliratibiwa na Amiri jeshi mkuu wa mkoaMwanasiasa sio mtu wa kumuamini hata siku moja.
Kwa utulivu wa haya maandamano wala sitostaajabu ikiwa yameratibiwa na CCM kuonyesha kuna demokrasia.
Mbowe keshakunja mtonyo wake kazuga kupeleka watoto mbele.
Tanzania hakuna upinzani vyama vyote ni matawi ya CCM na viongoz wa upinzani wote ni vibaraka wa CCM.
Duuuh maandamano yakiwa na vurugu chadema wameandaa,yakiwa na utulivu yameandaliwa na ccm,vyama vya upinzan no vibaraka tu...aiseeMwanasiasa sio mtu wa kumuamini hata siku moja.
Kwa utulivu wa haya maandamano wala sitostaajabu ikiwa yameratibiwa na CCM kuonyesha kuna demokrasia.
Mbowe keshakunja mtonyo wake kazuga kupeleka watoto mbele.
Tanzania hakuna upinzani vyama vyote ni matawi ya CCM na viongoz wa upinzani wote ni vibaraka wa CCM.
Haisaidii kitu kama taifa acha tushikamaneHuyu mnaemwambia kavurugwa yupo sahihi ila inachukua muda mrefu sana kuamini hilo au kamwe msiamini/msigundue kabisa mpaka mnakufa
Wewe ni mwana ccm usitufanye wajinga tuamini hizi propagada zenu.Mwanasiasa sio mtu wa kumuamini hata siku moja.
Kwa utulivu wa haya maandamano wala sitostaajabu ikiwa yameratibiwa na CCM kuonyesha kuna demokrasia.
Mbowe keshakunja mtonyo wake kazuga kupeleka watoto mbele.
Tanzania hakuna upinzani vyama vyote ni matawi ya CCM na viongoz wa upinzani wote ni vibaraka wa CCM.