Mtundu wa Tech
JF-Expert Member
- Aug 19, 2019
- 642
- 606
Aaah aaah aaah umetishaaa mbaya
Njoo unioe sitahangaika kukuchunguza nisije zeeka sijaolewa.
Mm niko kamili gado wala sijawai kutamani ndoa ila ikitokea kuna mwanaume wa junipa sababu ya kuolewa nayeye basi ntaolewa na mda ukiisha ni nafanya yangu mengine uku nikifurahia miaka 10 mbele ya kuchelewa kuzeeka mana ntakua mwili uko feat c unajua watu wasio kwenye ndoa wana mda mchache wa ujana??
na kuishi pia so nisipoolewa ni advantage kuliko nikiolewa.
nikiolewa ntaishia kufa mapema mana najua kupenda.
Walioko ndoani ndo wana matatizo ya akili tena wamalaya wakutupwa mana wameshapata ndoa ila bado wanafanya uasherati..sasa kua na ndoa iliyokufa si bora uzae utulie uendelee kutengeneza future ya mwanao au wanao kuliko kukaa kwenye dead marriage..nawaonea huruma sana wanatamani watoke ila hawawezi wanaishia kutumika nje ya ndoa zao na wengine kuhama kabisa wanakimbia family.Mchawi pekee ndio hatamani kuolewa kutokana na masharti.
Mwanamke aliyekamiliza na timamu kiakili lazima atamani ndoa. Halikadhalika na mwanaume.
Usipoolewa utakuwa na moja ya tabia zifuatazo;
1. Mchawi.
Upweke utakufanya ujifunze uchawi. Uchawi ni moja ya Mbinu ya kuondoa upweke. Utaloga ndugu zako hasa wakike. Na mawifi zako.
Wanawake wenye umri wa 35+ wasioolewa hujiingiza kwenye uchawi au ushirikina.
2. Malaya.
Utazaa kama Mbwa. Mbwa huzaa hovyo hovyo. Huzaa bila ndoa. Utawezaje kuzaa bila kuwa ndani ya ndoa? Huo huitwa umalaya na maisha ya mbwa.
Pia utakuwa unaiba waume za watu.
3. Utakuwa na Matatizo ya kisaikolojia.
Kuna tofauti baina ya mwanamke aliyeolewa na asiyeolewa Kisaikolojia. Ambaye hajaolewa huwa na matatizo ya kiakili.
hasira zetu tunapunguzia huku na mbaya zaidi tunaowasema hawapo JFKumekucha, hivi mtu ukipewa cha mbavu lazima uje uanzishe uzi Jf?
Walioko ndoani ndo wana matatizo ya akili tena wamalaya wakutupwa mana wameshapata ndoa ila bado wanafanya uasherati..sasa kua na ndoa iliyokufa si bora uzae utulie uendelee kutengeneza future ya mwanao au wanao kuliko kukaa kwenye dead marriage..nawaonea huruma sana wanatamani watoke ila hawawezi wanaishia kutumika nje ya ndoa zao na wengine kuhama kabisa wanakimbia family.
DAH SIJUI NTAISHIJE KAMA NIKIOLEWA DOUGHTER.
Mm najua malezi.Moja ya chanzo kikuu cha umasikini nchini Tanzania ni pamoja na Watoto kulelewa na mzazi mmoja sijui kama unajua hili?
Mm najua malezi.
Hatari sanahasira zetu tunapunguzia huku na mbaya zaidi tunaowasema hawapo JF
wewe jeh? upande wako vipi? utakuta na wewe unatatizo hilo! unachagua mabinti wenye makalio na sura nzuri, single mothers na majanga hutaki! acha kulalamika!Wanawake vichwa maji sana, wanaojiona ni wazuri wa sura huwa wana kasumba ya kuchagua wanaume wa kuolewa nao,
Mfano utakuta binti anasema "Mi sitaki kuolewa na mwanaume mfupi, mara nataka kuolewa na mwanaume mwenye pesa zake, nyumba na magari, mara sitaki kuolewa na bodaboda maana wanaongoza kwa kuchomoa betry"
Dada yangu uliye selective namna iyo utaishia kuhudhuria harusi za rafiki zako, mwisho wa siku utaanza kung'ang'ania magetoni kwa mbaharia pale utakapogundua umri umekutupa mkono ..... Ohooooo!!!!!!!!!!!
[Raha ya mali mchume pamoja siyo uzikute utanyanyasika]
Tafuta mume mapema ulee watoto na siyo wajukuu
Sauti inatosha au niunganishe kwenye subwoofer ili nisikike fresh?
View attachment 1182958
Povu ruksa ntarudi kesho kufua
Wanawake vichwa maji sana, wanaojiona ni wazuri wa sura huwa wana kasumba ya kuchagua wanaume wa kuolewa nao,
Mfano utakuta binti anasema "Mi sitaki kuolewa na mwanaume mfupi, mara nataka kuolewa na mwanaume mwenye pesa zake, nyumba na magari, mara sitaki kuolewa na bodaboda maana wanaongoza kwa kuchomoa betry"
Dada yangu uliye selective namna iyo utaishia kuhudhuria harusi za rafiki zako, mwisho wa siku utaanza kung'ang'ania magetoni kwa mbaharia pale utakapogundua umri umekutupa mkono ..... Ohooooo!!!!!!!!!!!
[Raha ya mali mchume pamoja siyo uzikute utanyanyasika]
Tafuta mume mapema ulee watoto na siyo wajukuu
Sauti inatosha au niunganishe kwenye subwoofer ili nisikike fresh?
View attachment 1182958
Povu ruksa ntarudi kesho kufua
Hivi kumepambazuka auWanawake vichwa maji sana, wanaojiona ni wazuri wa sura huwa wana kasumba ya kuchagua wanaume wa kuolewa nao,
Mfano utakuta binti anasema "Mi sitaki kuolewa na mwanaume mfupi, mara nataka kuolewa na mwanaume mwenye pesa zake, nyumba na magari, mara sitaki kuolewa na bodaboda maana wanaongoza kwa kuchomoa betry"
Dada yangu uliye selective namna iyo utaishia kuhudhuria harusi za rafiki zako, mwisho wa siku utaanza kung'ang'ania magetoni kwa mbaharia pale utakapogundua umri umekutupa mkono ..... Ohooooo!!!!!!!!!!!
[Raha ya mali mchume pamoja siyo uzikute utanyanyasika]
Tafuta mume mapema ulee watoto na siyo wajukuu
Sauti inatosha au niunganishe kwenye subwoofer ili nisikike fresh?
View attachment 1182958
Povu ruksa ntarudi kesho kufua
Njoo piemu tuanze safari hyo takatifuNjoo unioe sitahangaika kukuchunguza nisije zeeka sijaolewa.