EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,713
- 35,525
- Thread starter
- #21
We jizungusheeeee jua lianze kuzama tuanze kusumbuana jukwaa la LOVE CONNECTW
Tafuta hela hatutakutenga tutakuchagua nawewe..😂
We jizungusheeeee jua lianze kuzama tuanze kusumbuana jukwaa la LOVE CONNECTW
Tafuta hela hatutakutenga tutakuchagua nawewe..😂
We jizungusheeeee jua lianze kuzama tuanze kusumbuana jukwaa la LOVE CONNECT
Kula ujana bhanaMm niko kamili gado wala sijawai kutamani ndoa ila ikitokea kuna mwanaume wa junipa sababu ya kuolewa nayeye basi ntaolewa na mda ukiisha ni nafanya yangu mengine uku nikifurahia miaka 10 mbele ya kuchelewa kuzeeka mana ntakua mwili uko feat c unajua watu wasio kwenye ndoa wana mda mchache wa ujana??
na kuishi pia so nisipoolewa ni advantage kuliko nikiolewa.
nikiolewa ntaishia kufa mapema mana najua kupenda.
Njoo tule ote nakuzalia watatu wa fasta afu tunaendelea kubanjuka😂😂Kula ujana bhana
Zama PMNjoo tule ote nakuzalia watatu wa fasta afu tunaendelea kubanjuka😂😂
Weee afu uje unambie ulintania tu kwenye comment kama kipepe majuzi😂😂uje mwenyeweZama PM
Mm niko kamili gado wala sijawai kutamani ndoa ila ikitokea kuna mwanaume wa junipa sababu ya kuolewa nayeye basi ntaolewa na mda ukiisha ni nafanya yangu mengine uku nikifurahia miaka 10 mbele ya kuchelewa kuzeeka mana ntakua mwili uko feat c unajua watu wasio kwenye ndoa wana mda mchache wa ujana??
na kuishi pia so nisipoolewa ni advantage kuliko nikiolewa.
nikiolewa ntaishia kufa mapema mana najua kupenda.
Mbona unakuwa muoga aisee, mtu usiyemjua unamuogopaje??Weee afu uje unambie ulintania tu kwenye comment kama kipepe majuzi😂😂uje mwenyewe
Jamaa kwani wewe ni mwanamke!?nani kakudanganya wanawake wanataka pesa?
Angalia mtoto asiliibe kama lile la RCNgoja nipeleke gari likaoshwe kwanza nitarudi
siombwagi helaJamaa kwani wewe ni mwanamke!?
Unataka wakuombe kwa maneno? Yani naomba pesa ndio ujue unaobwa au?siombwagi hela
wana hela zaoUnataka wakuombe kwa maneno? Yani naomba pesa ndio ujue unaobwa au?
Sawa maana kila mtu ana experience yako.wana hela zao
Karibu tuyajenge mkuu, weka umri kwanza usijekuwa walewale wazeeNjoo unioe sitahangaika kukuchunguza nisije zeeka sijaolewa.
Tena wanakujaga na id fake mkuuWe jizungusheeeee jua lianze kuzama tuanze kusumbuana jukwaa la LOVE CONNECT
Karibu tuyajenge mkuu, weka umri kwanza usijekuwa walewale wazee