EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,713
- 35,512
Wanawake vichwa maji sana, wanaojiona ni wazuri wa sura huwa wana kasumba ya kuchagua wanaume wa kuolewa nao,
Mfano utakuta binti anasema "Mi sitaki kuolewa na mwanaume mfupi, mara nataka kuolewa na mwanaume mwenye pesa zake, nyumba na magari, mara sitaki kuolewa na bodaboda maana wanaongoza kwa kuchomoa betry"
Dada yangu uliye selective namna iyo utaishia kuhudhuria harusi za rafiki zako, mwisho wa siku utaanza kung'ang'ania magetoni kwa mbaharia pale utakapogundua umri umekutupa mkono ..... Ohooooo!!!!!!!!!!!
[Raha ya mali mchume pamoja siyo uzikute utanyanyasika]
Tafuta mume mapema ulee watoto na siyo wajukuu
Sauti inatosha au niunganishe kwenye subwoofer ili nisikike fresh?
Povu ruksa ntarudi kesho kufua
Mfano utakuta binti anasema "Mi sitaki kuolewa na mwanaume mfupi, mara nataka kuolewa na mwanaume mwenye pesa zake, nyumba na magari, mara sitaki kuolewa na bodaboda maana wanaongoza kwa kuchomoa betry"
Dada yangu uliye selective namna iyo utaishia kuhudhuria harusi za rafiki zako, mwisho wa siku utaanza kung'ang'ania magetoni kwa mbaharia pale utakapogundua umri umekutupa mkono ..... Ohooooo!!!!!!!!!!!
[Raha ya mali mchume pamoja siyo uzikute utanyanyasika]
Tafuta mume mapema ulee watoto na siyo wajukuu
Sauti inatosha au niunganishe kwenye subwoofer ili nisikike fresh?
Povu ruksa ntarudi kesho kufua