We are selling used cars from Japan

We are selling used cars from Japan

TOYOTA VITZ LIGHT BLUE

YEAR: 2006

COLOR: L BLUE

MILEAGE: 78,000KM

DRIVE: 2WD

CC: 999

GRADE: F ADVANCED-ED

OTHER: AB ABS NV

FUEL: PETROL

CHASIS: SCP90-5051995

BEI YA GARI, USHURU NA USAJILI = 10.7 MILLION
MOBILE: 0742085793
WHATSAPP: 0715007546
Nimekapenda haka kagari shida hapo kwenye dashboard kuna vidude vya kunyonganyonga kama redio.
 
Nimenunua Gari mwezi huu wa pili Feb 2019 kutoka Autocom, wakishakuuzia Gari , ukitaka msaada hupati kabisa, wanakurusha huku na kule, pia DOCUMENTATION ZAO HAZIPO SAWA, HAWANA MSAADA UKIWA KWENYE MATATIZO , WANAKUUZIA WEWE HALAFU UTAJUA MWENYEWE, KWENYE DOCUMENT ZAO HAWAANDIKI 'YEAR OF MANUFACTURE/PRODUCTION, NA KODI TANZANIA INATAKA DOCUMENTS ZIONESHE HIYO DETAIL ILI UKARIRIWE KODI, WAO WANAONESHA 1ST YEAR OF REGISTRATION AMBAYO MARA NYINGI INAKUWA NI MWAKA UNAOFUATA, SASA HAPO WEWE UKIKADIRIWA KODI UNAPATA HASARA YA KAMA $300...KUWA MWANGALIFU, HAWANA MSAADA KABISA HAO
 
Hawafai kabisa, na pia wafanyakazi inaonekana hawwaajali kwani mtu atakayekuuzia unashangaa kaacha kazi sasa ukiwauliza nilikuwa naongea na mtu fulani wanakwambia kwa sababu mimi sijakuuzia siwezi kukusaidia, wanatoa email za watu kibao ya kampuni yao halafu hakuna msaada hata kidogo,,hii naongelea matatizo niliyopata hii march 2019, HAWAFAI KABISA
 
Nimenunua Gari mwezi huu wa pili Feb 2019 kutoka Autocom, wakishakuuzia Gari , ukitaka msaada hupati kabisa, wanakurusha huku na kule, pia DOCUMENTATION ZAO HAZIPO SAWA, HAWANA MSAADA UKIWA KWENYE MATATIZO , WANAKUUZIA WEWE HALAFU UTAJUA MWENYEWE, KWENYE DOCUMENT ZAO HAWAANDIKI 'YEAR OF MANUFACTURE/PRODUCTION, NA KODI TANZANIA INATAKA DOCUMENTS ZIONESHE HIYO DETAIL ILI UKARIRIWE KODI, WAO WANAONESHA 1ST YEAR OF REGISTRATION AMBAYO MARA NYINGI INAKUWA NI MWAKA UNAOFUATA, SASA HAPO WEWE UKIKADIRIWA KODI UNAPATA HASARA YA KAMA $300...KUWA MWANGALIFU, HAWANA MSAADA KABISA HAO

Kiongozi akikujibu naomba unitag please


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Biashara akishaingia Mbongo andika maumivu. Bora Real Motors Japan wana stock ndogo ila gari zimesimama na Customer Care 24/7.
 
Hakuna Majibu Hadi leo, imebidi nilipie kodi kubwa tuu, ili kuondoa usumbufu na TRA na kulipa faini za port storage, hii kampuni ni matatizo, ukitaka kujaribu ni juu yako
 
Hakuna Majibu Hadi leo, imebidi nilipie kodi kubwa tuu, ili kuondoa usumbufu na TRA na kulipa faini za port storage, hii kampuni ni matatizo, ukitaka kujaribu ni juu yako
Asante ndugu kwa tahadhari
 
Back
Top Bottom