Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 17,895
- 25,944
Amani iwe nanyi wapendwa katika bwana,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu,
Kuna hii lable kubwa nchini ambayo ilikuwa ndo habari ya mujini hapa Tz.Kwa sasa label hii masikini wa Mungu imekuwa zilipendwa.
Ray van hata hajulikani alipo yule dogo mwingine sijui nani yule sijui wanamwitaga kibua yule alikuwa anaimba mapambio naye hasikiki tena.
Hamonize ndo kabisa hata hatumsikii licha ya kutoa ngoma mpya lakini anazidiwa umarufu na Hamorapa ambaye hata hana kazi mpya.
Rich Mavoko naye kaachia ngoma mpya mbovu kulizo zote duniani. Diomond naye kwa sasa kahamia kwenye makiki na mapicha picha ya Zari na Rick Ross.
Yaani hii label inatia huruma sana jamani.
Media ambazo zilikuwa zinaibeba label hii mbeleko zao zimekatika.
LONDON BABY
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu,
Kuna hii lable kubwa nchini ambayo ilikuwa ndo habari ya mujini hapa Tz.Kwa sasa label hii masikini wa Mungu imekuwa zilipendwa.
Ray van hata hajulikani alipo yule dogo mwingine sijui nani yule sijui wanamwitaga kibua yule alikuwa anaimba mapambio naye hasikiki tena.
Hamonize ndo kabisa hata hatumsikii licha ya kutoa ngoma mpya lakini anazidiwa umarufu na Hamorapa ambaye hata hana kazi mpya.
Rich Mavoko naye kaachia ngoma mpya mbovu kulizo zote duniani. Diomond naye kwa sasa kahamia kwenye makiki na mapicha picha ya Zari na Rick Ross.
Yaani hii label inatia huruma sana jamani.
Media ambazo zilikuwa zinaibeba label hii mbeleko zao zimekatika.
LONDON BABY