WCB wachia wimbo wa Kwangwaru

WCB wachia wimbo wa Kwangwaru

kilimbamula

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
1,792
Reaction score
853
Chama kubwa la WCB Leo wameachia wimbo bora wa Kwangwaru wa kijana Chinga boy aliomshirikisha boss wake Diamond saa 10 jioni hii kupitia TV yao wa Wasafi.

Nyota yake Harmonize inazidi kung'aa. Kichupa hicho kitapandishwa hewani YouTube ifikapo jioni ya leo saa 12. Heko kwenu vijana wa WCB.
 
Chama kubwa la WCB Leo wameachia wimbo bora wa Kwangwaru wa kijana Chinga boy aliomshirikisha boss wake Diamond saa 10 jioni hii kupitia TV yao wa Wasafi.

Nyota yake Harmonize inazidi kung'aa. Kichupa hicho kitapandishwa hewani YouTube ifikapo jioni ya leo saa 12. Heko kwenu vijana wa WCB.
kwahyo mkuu unatuaminisha nn hapo?
 
Waanze kugonga vichupa USA Godfather na Justin Campos kazoeleka na vichupa vinafanana....
All the best Wcb
 
Nyimbo mbaya nimeisikiliza mara moja nikahisi kichefu chefu
 
Watu wapo bize na nandy,nyimbo za wasafi bila kiki hamna kitu
 
Nzur, ila huyu Harmonize siku hizi anamzidi hadi bosi wake kwa kuimba
 
Msukule wa Madale mwambie Boss wako ule wimbo mbovu
 
Wakati nikisikiliza salome remix Rvany ft Dplatnum neno Kwangwaru=papuchi.

Basata...............!
 
Back
Top Bottom