AKILI TATU
JF-Expert Member
- Feb 10, 2016
- 2,658
- 2,804
Siku hizi imekuwa ni jambo la kawaida kukuta season inakuwa na kipande cha maigizo ya watu wa jinsi moja wakifanya matendo yanayoashiria kuwa ni ngono ya jinsi moja,mara nyingi waigizaji wengi huwa wanaigiza hasa vipande vya mapenzi ya mashoga na hata wakati mwigine hufikia hatua ya kuonyesha kabisa jinsi wanavyofanya mfano tazama season ya spartcus ,game of throne na nyingie nyingi.
Hii imekuwa ni jambo la kawaida na ajabu ni kwamba haijawai hata siku mojs serikali za Afrika achilia mbali ya Tanzania kukemea au kukataza tamthilia zenye maudhui hayo kuonekana tanzania.
Jambo hili linaenda sambamba na ukuaji wa mitandao ya kijamii na ueneaji wa intanet nchini.
ambapo walianza na season za kizungu na sasa wamehami kwenye season za kikorea na kihindi
Athari zake huenda ni pamoja na ile hali ya uoga waliokuwa nao vijana juu ya masuala haya kuanza kupungua na hata kufikia hivi sasa kuanza kuzoeleka ambapo vijana wa kiume wanajikuta wakifanya mapenzi bila kuogopa ile hali ya kufanana kimaumbile.
Uroboti huu ambao unasambazwa kwa kasi kubwa na tamthilia hizo madhara yake sahii yataanza kuja kujitokeza miaka 5 hadi 10 ijayo ambapo serekali za kiafrika zitajikuta zinashindwa kuzuia mienendo ya vijana wake na kujikuta wakikubali ushoga rasmi.
Je wewe ambaye uliwahi kutazama season yenye vipande hivyo vya ushoga unamchango gani katika hili?
Hii imekuwa ni jambo la kawaida na ajabu ni kwamba haijawai hata siku mojs serikali za Afrika achilia mbali ya Tanzania kukemea au kukataza tamthilia zenye maudhui hayo kuonekana tanzania.
Jambo hili linaenda sambamba na ukuaji wa mitandao ya kijamii na ueneaji wa intanet nchini.
ambapo walianza na season za kizungu na sasa wamehami kwenye season za kikorea na kihindi
Athari zake huenda ni pamoja na ile hali ya uoga waliokuwa nao vijana juu ya masuala haya kuanza kupungua na hata kufikia hivi sasa kuanza kuzoeleka ambapo vijana wa kiume wanajikuta wakifanya mapenzi bila kuogopa ile hali ya kufanana kimaumbile.
Uroboti huu ambao unasambazwa kwa kasi kubwa na tamthilia hizo madhara yake sahii yataanza kuja kujitokeza miaka 5 hadi 10 ijayo ambapo serekali za kiafrika zitajikuta zinashindwa kuzuia mienendo ya vijana wake na kujikuta wakikubali ushoga rasmi.
Je wewe ambaye uliwahi kutazama season yenye vipande hivyo vya ushoga unamchango gani katika hili?