Wazungu wanaisikitia CCM? (Picha)

sio wazungu tu..ata mimi na rangi yangu ya udongo, nikisoma nasikitika!
 
Wanashanga badala ya manifesto kuongelea kujenga viwanda ya magamba inaongelea kujenga vyoo,tena latrines!
 
Duh! hicho kijitabu kina mapicha???/ maana huyu jamaa liyekishika anaonekana kama mtoto aliyeona picha ya some monster in the making. hahaha ahahaha!!!
 
Mh hii, kali kabisa wamechanganikiwa kabisa!
Huyo mtu mzima amemkumbuka Nyerere na anatafakali. Haya madudud kweli yangevumilika
Huyu kijana kidogo haelewi kabisa anaona madudu tu hajui hata pa kuanzia!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…