Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
Hawa jamaa ni kweli kabisa kwamba wana akili kutuzidi tena kwa mbali sana tu, utakuja na theory zote mnazozijua lkn ukweli unabakia kuwa ukweli Wazungu wana akili klk sisi Waafrika!
Hebu angalia hili jambo kwa mfano Wazungu wameanzisha Mahakama ya ICC kwa ajili ya kushitaki Waafrika, ingawaje wanaiita Mahakama ya kimataifa lkn Dunia nzima inajua kwamba ni Mahakama ya kushughulikia watu weusi, sasa akili ya Mzungu iko wapi?
Katika kesi ambazo Waafrika wameshitakiwa ICC hakuna hata moja iliyofunguliwa na Mzungu, yaani ni waafrika wenyewe ndiyo waliokwenda kuwashitaki Waafrika wenzao kwa Mzungu, na kesi zote ambazo Mzungu ameamua kuzifwatilia ni zile ambazo ana maslahi ya moja kwa moja na hiyo nchi, na mwishowe mzungu alifanikiwa kufunga viongozi walioshitakiwa na Waafrika lkn bado hakuna Amani na Rasilimali zinaibiwa kila siku rejea Kongo, Sierra leone, Liberia, Kenya & Co.!
Kwa mfano leo hii AU wakisema wafungue Mahakama kama ya ICC labda Arusha kama hakuna Mzungu humo ndani hakuna Mwafrika atakayekwenda kumshitaki Kiongozi wake hata kama hiyo Mahakama ikifunguliwa na Wakorea Kusini au Wajapani kama Mzungu hayumo hakuna Mwafrika atakayekwenda kushitaki!
Hivyo Wazungu wanavyosema kwamba wakati wa Utumwa ni sisi wenyewe ndiyo tulikamata watu wetu na kuwakabidhi kwa wazungu na Waarabu, mimi naamini kabisa kwa 100%
Hebu angalia hili jambo kwa mfano Wazungu wameanzisha Mahakama ya ICC kwa ajili ya kushitaki Waafrika, ingawaje wanaiita Mahakama ya kimataifa lkn Dunia nzima inajua kwamba ni Mahakama ya kushughulikia watu weusi, sasa akili ya Mzungu iko wapi?
Katika kesi ambazo Waafrika wameshitakiwa ICC hakuna hata moja iliyofunguliwa na Mzungu, yaani ni waafrika wenyewe ndiyo waliokwenda kuwashitaki Waafrika wenzao kwa Mzungu, na kesi zote ambazo Mzungu ameamua kuzifwatilia ni zile ambazo ana maslahi ya moja kwa moja na hiyo nchi, na mwishowe mzungu alifanikiwa kufunga viongozi walioshitakiwa na Waafrika lkn bado hakuna Amani na Rasilimali zinaibiwa kila siku rejea Kongo, Sierra leone, Liberia, Kenya & Co.!
Kwa mfano leo hii AU wakisema wafungue Mahakama kama ya ICC labda Arusha kama hakuna Mzungu humo ndani hakuna Mwafrika atakayekwenda kumshitaki Kiongozi wake hata kama hiyo Mahakama ikifunguliwa na Wakorea Kusini au Wajapani kama Mzungu hayumo hakuna Mwafrika atakayekwenda kushitaki!
Hivyo Wazungu wanavyosema kwamba wakati wa Utumwa ni sisi wenyewe ndiyo tulikamata watu wetu na kuwakabidhi kwa wazungu na Waarabu, mimi naamini kabisa kwa 100%