Wazungu wakikuchoka, na wakaamua kukupa live basi ujue kweli wanamaanisha, waulize Libya, Tunisia, Misri, sudan, afaghanstan, Osama, n.k
hawa watu ni mabingwa wa kutumia kosa dogo sana kupenyeza fujo kubwa ili kumuondoa yoyote waliyemchoka
nimetafakari sana hotuba ya MUGABE, yule dictator wa Africa hasa pale aliposema eti KIKWETE alimtonya kuwa dunia ya kwanza wamemwambia CCM imekaa madarakani muda mrefu sana na wakashauri wawapishe na wengine. tafakari yangu imenikumbusha kuwa kauli hizi si mara ya kwanza kusikika katika nchi tofauti na baada ya kauli hizi mambo huwa si mazuri,
Wazungu wakikuchoka, na wakaamua kukupa live basi ujue kweli wanamaanisha, waulize Libya, Tunisia, Misri, sudan, afaghanstan, Osama, n.k
hawa watu ni mabingwa wa kutumia kosa dogo sana kupenyeza fujo kubwa ili kumuondoa yoyote waliyemchoka, yaani they take advantage of a very small internal mistake or cleavage and escalate it to unimaginable conflict combo.
Sasa haka ka mgogoro ka zanzbar tusipokuwa makini ndo katatumika, nimewaskia wakianza kutoa warning kalikali, na za kuogofya, huku wakisema eti wasijelaumiwa kuwa hawakutuonya. Hapa kuna kitu kinanukia hapa. kama siri aliyoitoboa Mugabe kuhusu CCM ni kweli, TISS fanyeni kazi yenu, nna wasiwasi Zanzbar inaweza kutumika kama njia ya hawa wenzetu kupenyeza propaganda za kuwaharibia waliochokwa
CCM imechokwa na ndugu zao wazungu, alafu wanalea mgogoro ambao ni potential threat kwa amani ya Tanzania nzima, Tusishangae rocket launchers zikianza kupatikana mitaani, alafu tukaanza kujiuliza eti zimetoka wapi, wakati wameshasema wamewachoka CCM
Msijesema sikusema[/QUOTE
Kinachotakiwa ni UZALENDO kwa sisi kana Watanzania hii tabia ya kuwakumbatia Wazungu ndio inayosababisha ukosefu wa amani Duniani nchi nyingi ziliambiwa akitoka fulani maisha yao yatakuwa mazuri lakini mpaka leo ni maskini wa ajabu. Toka lini Mzungu akawa na huruma na mtu Mweusi? Kwa nini walilie CCM itoke? Hii nchi itaendelea kuwa chini ya mikono salama ya CCM mpaka pale kitakapopatikana chama mbadala cha Wazalendo na wafia nchi wengine kama CCM ndio tutairuhusu CCM ikajiunge na Malaika wengine Mbinguni.
Ivyo vyama vyenu vya kupiga dili na ukibaraka kwa wazungu vitaongoza baada ya sisi wazalendo wa nchi hii kufa kikabaki kizazi chenu cha mtoto wa kiume unapiga picha huku umebana ulimi.
We utakuwa aidha umerogwa au UKAWA.Nimeisikiliza hotuba ya Mugabe, hakulitaja jina la Kikwete na maana halisi si hiyo hapo juu ya kile Mugabe alichozungumza. Hata hivyo, kuna tofauti ya CCM na nchi tajwa hapo juu. CCM wanabadilisha uongozi wakati katika nchi tajwa hapo juu, viongozi ni wale wale.
mkuu hao raia walipata wapi silaha nzitonzito zileNchi hizo za kiarabu ulizotaja walitumia diaspora kama vibaraka wao wa kuleta hayo mapinduzi Libya,misri,tunisia nk Waliotumika kwenye zile vita ni wale raia waliokuwa nje ya nchi.Waliwaanda huko kwao wakawapa uraia baadaye wakashinikiza nchi hizo ziwe na uraia wa nchi mbili wakarudi nchi hizo na kombati na maguruneti wakaanza vurugu na mapinduzi.Tanzania pia kulikuwa na mchakato huo wa kutaka kuwepo uraia wa nchi mbili lengo ni kuwa na madiaspora ambayo yangetumiwa kwa maslahi yao kuja kuleta za kuleta kama walivyoyatumia hayo ma-diaspora nchi hizo za kiarabu.
Uzuri pamoja na propaganda zote za vibaraka wa ndani ya serikali,bunge na nje, Serikali ilikataa na wabunge wakalipiga chini kuwa uraia wa nchi mbili OUT hatutaki.
Ulinzi wa Tanzania ni wa kila Mtanzania Sio TISS peke yake.Kila mtanzania ajione kama TISS kuilinda na kuitetea nchi yake dhidi ya kila njama ya siri na wazi iwe ya wazungu au vibaraka wa wazungu walioko vyama vya upinzani,CCM,serikalini au POPOTE.
mkuu don't underestimate the power of intelligence, tatizo amani tuliyonayo imetufanya tumekuwa complacent sana.
So ni muhimu taasisi yetu ya usalama kukusanya some covert intelligence and use them to predetermine the situation, then take preventive measures, kimsingi hatuwezi kuvamiwa kivita, so kuzuia propaganda encroachment ni muhimu sana na hii huwezi kuifanya bila kujiandaa kiintelligensia
Hivi tiss watawafanya nn wazungu kwa mfano? Unachekesha kwelinimetafakari sana hotuba ya MUGABE, yule dictator wa Africa hasa pale aliposema eti KIKWETE alimtonya kuwa dunia ya kwanza wamemwambia CCM imekaa madarakani muda mrefu sana na wakashauri wawapishe na wengine. tafakari yangu imenikumbusha kuwa kauli hizi si mara ya kwanza kusikika katika nchi tofauti na baada ya kauli hizi mambo huwa si mazuri,
Wazungu wakikuchoka, na wakaamua kukupa live basi ujue kweli wanamaanisha, waulize Libya, Tunisia, Misri, sudan, afaghanstan, Osama, n.k
hawa watu ni mabingwa wa kutumia kosa dogo sana kupenyeza fujo kubwa ili kumuondoa yoyote waliyemchoka, yaani they take advantage of a very small internal mistake or cleavage and escalate it to unimaginable conflict combo.
Sasa haka ka mgogoro ka zanzbar tusipokuwa makini ndo katatumika, nimewaskia wakianza kutoa warning kalikali, na za kuogofya, huku wakisema eti wasijelaumiwa kuwa hawakutuonya. Hapa kuna kitu kinanukia hapa. kama siri aliyoitoboa Mugabe kuhusu CCM ni kweli, TISS fanyeni kazi yenu, nna wasiwasi Zanzbar inaweza kutumika kama njia ya hawa wenzetu kupenyeza propaganda za kuwaharibia waliochokwa
CCM imechokwa na ndugu zao wazungu, alafu wanalea mgogoro ambao ni potential threat kwa amani ya Tanzania nzima, Tusishangae rocket launchers zikianza kupatikana mitaani, alafu tukaanza kujiuliza eti zimetoka wapi, wakati wameshasema wamewachoka CCM
Msijesema sikusema
HUKUSIKIA JINA LA KIKWETE??????????????Nimeisikiliza hotuba ya Mugabe, hakulitaja jina la Kikwete na maana halisi si hiyo hapo juu ya kile Mugabe alichozungumza. Hata hivyo, kuna tofauti ya CCM na nchi tajwa hapo juu. CCM wanabadilisha uongozi wakati katika nchi tajwa hapo juu, viongozi ni wale wale.
Bora aliyelogwa na anaona ccm hawafai kuliko wewe ambae hujalogwa na unaona ccm inafaa kwani ni tatizo la akili na ufahamu mdogo!We utakuwa aidha umerogwa au UKAWA.
Duh, elimu elimu elimu, hivi unategemea itapigwa ccm pekee? Nilidhan walio jf wako vizuri upstairs kumbeee sivyowazungu waipige CCM tu
Barikiwa mkuu kwa jina la Yesu Mungu alie hai kana CCM haifai njoo hapa uhamiaji ulizia haa mym ninatoa passport buree kwenda Kongo,Syria,Libya,Sudan Kusini na Afrika ya kati buree kabisa na nauli nakupa ukapumzike na kero za CCM ili Lowasa akiwa rais urudi.Bora aliyelogwa na anaona ccm hawafai kuliko wewe ambae hujalogwa na unaona ccm inafaa kwani ni tatizo la akili na ufahamu mdogo!
Mbona north Korea wamweza kufight kiasi na propaganda za western na sasa wanawashikiria RAIA wamarekani wa3 na wamekiri makosa yao kwa nini ishindikane TZ.Sina tatizo na hilo amani tuliyonayo sio kwamba TISS ndio walio sababisha ikawepo ni Mungu tu na ashukururiwe kwa hilo ,hizo covert intelligence unazosema ningewaheshimu sana kama Twiga wanapanda ndege ya kijeshi ya Qatar ,makontena hayalipiwi kodi,meli ya pembe za ndovu zinakamatwa nje ya nchi ,kashfa za Richmond, escorow ,kama haya tu yamewashinda ni covert operations zipi za Mosad,CIA,MI6 na wenzake watazuia ???
Mkuu tupo tunaojiekewa wasikutishe hao vijana wa miaka ya 95+kichwani horobo shule hawakutaka wanafanya kazi ngumu mshahara mdogo afu wana wanawake wazee hasira zao zote wanamaluzia mitandaoni na vitecno vyao vya bure.Duh, elimu elimu elimu, hivi unategemea itapigwa ccm pekee? Nilidhan walio jf wako vizuri upstairs kumbeee sivyo
Asante sanaPamoja na kuwa kila mtu ameichoka CCM kwa kkiwango kikubwa lakini hayo unayoyataka yatokee ni ya hatari zaidi....amani ikipotea yatakuwa ni majuto makuu siyo tu kwako bali mpaka kwa vizazi vyako......bado tuna nafasi ya kurekebisha mambo katika nchi katika njia ya amani kuliko kuanzisha fujo ambazo madhara yake ni makubwa kuliko unavyodhani......
Kwa kiasi kikubwa sana raia wa Libya wapo kwenye majuto makuu hata yale madogo waliyokuwa wakiyadharau sasa hayapatikani....ni muendelezo wa mauaji na kila aina ya unyama...
Ni ujumbe mzito sana mkuu, majuto ni mjukuu na ninge huja baadaye sana. Mungu ibariki TanzaniaPamoja na kuwa kila mtu ameichoka CCM kwa kkiwango kikubwa lakini hayo unayoyataka yatokee ni ya hatari zaidi....amani ikipotea yatakuwa ni majuto makuu siyo tu kwako bali mpaka kwa vizazi vyako......bado tuna nafasi ya kurekebisha mambo katika nchi katika njia ya amani kuliko kuanzisha fujo ambazo madhara yake ni makubwa kuliko unavyodhani......
Kwa kiasi kikubwa sana raia wa Libya wapo kwenye majuto makuu hata yale madogo waliyokuwa wakiyadharau sasa hayapatikani....ni muendelezo wa mauaji na kila aina ya unyama...
[emoji1] [emoji1] haya mkuu, hawa vijana wamezidi kuchukulia poa kila kituMkuu tupo tunaojiekewa wasikutishe hao vijana wa miaka ya 95+kichwani horobo shule hawakutaka wanafanya kazi ngumu mshahara mdogo afu wana wanawake wazee hasira zao zote wanamaluzia mitandaoni na vitecno vyao vya bure.
Back ground ya Noth Korea huwezi kuifananisha na Tanzania hata kidogo wakati wa economic criss ya 1990 waliopitia North Korea baada ya USSR kusambaratika ilibidi watafute alternative ways ya kupata pesa kwa ajili ya kuendesha nchi yao na pesa wanazopata ni nyingi zinatokana na illegal means kama producing and smuggling drugs, smuggling Elephant ivory, selling weapons and nuclear tech middle east ,operating casinos in China unofficial nakadhalika ,sasa sisi ambao uchumi wetu unategemea pombe na sigara ,madini tu kuchimba hatuwezi mpaka na udongo unasafirishwa Ulaya na Marekani unategemea nini ????Mbona north Korea wamweza kufight kiasi na propaganda za western na sasa wanawashikiria RAIA wamarekani wa3 na wamekiri makosa yao kwa nini ishindikane TZ.