CARIFONIA
JF-Expert Member
- Aug 17, 2013
- 518
- 901
Habari zenu jamani, bila kuwachosha sana ngoja niende moja kwa moja kwenye hoja yangu.
Kuna msemo mmoja wa kiswahili usemao usimtukane mamba kabla ujavuka mto, kitu ninachokiona kwa sasa ni kama hawa jamaa walienda maabara kui-upgrade hii kitu inaitwa corona.
Afrika tulijipiga kifua sana kuhusu huu ugonjwa kwamba autakua na madhara makubwa kwetu, kitu nachokiona kwa sasa ni kama huu ugonjwa unarudi kwa kasi ya tsunami sasa sijui ndio second wave, Kenya, Madagascar, South Africa, Zambia hali ni tete.
Naomba tu Watanzania tusijiachie sana kihivyo kwani mabeberu hayajafurai kwa sisi kuwa salama nadhani walikua wanajipanga kuja kutuonyesha corona bado ipo.
Kuna msemo mmoja wa kiswahili usemao usimtukane mamba kabla ujavuka mto, kitu ninachokiona kwa sasa ni kama hawa jamaa walienda maabara kui-upgrade hii kitu inaitwa corona.
Afrika tulijipiga kifua sana kuhusu huu ugonjwa kwamba autakua na madhara makubwa kwetu, kitu nachokiona kwa sasa ni kama huu ugonjwa unarudi kwa kasi ya tsunami sasa sijui ndio second wave, Kenya, Madagascar, South Africa, Zambia hali ni tete.
Naomba tu Watanzania tusijiachie sana kihivyo kwani mabeberu hayajafurai kwa sisi kuwa salama nadhani walikua wanajipanga kuja kutuonyesha corona bado ipo.