jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 36,140
- 29,670
Hili ni wazo langu kuwa wajumbe wote wa kamati hizi mbili zilizoundwa kuchunguza wizi wa rasilimali zetu watunukiwe nishani ya kitaifa ili kuenzi uzalendo wao kwa nchi.
Wajumbe hawa wamejitunza kwa kutokukubali kulaghaiwa.
Wajumbe hawa wanerisk na wataendelea kurisk maisha yao kwa manufa ya Taifa.
Wajumbe hawa wameitendea haki ekimu yao na gharama zilizotumika kuwasomesha.
Wajumbe hawa wamejitunza kwa kutokukubali kulaghaiwa.
Wajumbe hawa wanerisk na wataendelea kurisk maisha yao kwa manufa ya Taifa.
Wajumbe hawa wameitendea haki ekimu yao na gharama zilizotumika kuwasomesha.