Wazo: Wajumbe wa kamati za makinikia wanastahili nishani ya kitaifa!

Nani aliyekwambia uwezo wake ni mdogo kuliko anachodaiwa?yaani kajipimia mwenyewe uwezo na unamuamini?
Unadhani wenzako wanajisemea tuu kwa kuropoka kama nyie na uzushi wenu? Makampuni hayo hesabu zao za mizania ziko wazi (statement of Assets and Liabilities) na hesabu hizo zinakaguliwa na makampuni makubwa ya kimataifa yenye wataalamu wabobezi.
Mnataja tuu trilion 108 kama hela ya mchezo wakati nyie kama nchi yenye vyanzo vingi vya mapato budget ya Trilion 28 tuu mnashindwa hata kuitekeleza kwa 50%? Mnashindwa hata kupeleka chanjo za watoto kwenye zahanati, watoto bado wanakaa chini mashuleni nk nk?
 
Nashukuru kwa Mheshimiwa Rais kuwatambua wapiganaji wa Rasilimali zetu!!
 
Hili ni wazo langu kuwa wajumbe wote wa kamati hizi mbili zilizoundwa kuchunguza wizi wa rasilimali zetu watunukiwe nishani ya kitaifa ili kuenzi uzalendo wao kwa nchi.

Wajumbe hawa wamejitunza kwa kutokukubali kulaghaiwa.

Wajumbe hawa wanerisk na wataendelea kurisk maisha yao kwa manufa ya Taifa.

Wajumbe hawa wameitendea haki ekimu yao na gharama zilizotumika kuwasomesha.
Wamshajua maana ya neno "UPFRONT" lakini?
 
b3fc5c24de3ba4fa1f9e17ded4ef4f57.jpg
 
Back
Top Bottom