Huu ni wito tu yametokea Kenya na KANU sasa Botswana ni yaleyale yanataka kutokea na Zambia.
Njia rahisi kwa Magu na wanaomuunga mkono kama kweli anaamini ana nguvu za mabadiliko na ana support ya Watanzania ni kuanzisha Chama kingine cha siasa. Hii itakuwa rahisi kwasababu wote watakuwa na agenda na lengo moja.
Kwa sasa CCM sio moja kuna wengi walioajiriwa na kutajirika na chama, kuna ambao wanataka kuacha watoto zao huko, kuna wana urafiki na kibaya zaidi wote hawa wana nafasi kubwa ndani ya CCM.
Hivyo hawafukiziki kirahisi, ni wengi na wale wanao support sana kama Mwinyi, Mkapa, Msekwa, Msuya wataondoka na kukuacha na vijana wenye uchu wa madaraka ambao ni wakina Nape, Mwigulu, Bashe, Makamba, Jofa na Makamba.
Hivyo kama kweli unataka kuleta maendeleo hutaweza kubadilisha yote CCM anza upya tu. Kwasababu sasa hivi ukisema lolote baya kwa mzee yoyote ana uwezo wa kuleta matatizo kwenye chama maana ana wafuasi.
Tatizo lingine wafuasi wako sio wengi ndani ya CCM kuliko wafuasi wengine wote na vikundi vyote pamoja ndani ya CCM.
Huyo Dr kamshidwa Membe je atawaweza Makamba, Kinana, Membe, Nape .... na wengine wote.
Kwa vijana wa CCM nawashauri sana hamtakuwa na nafasi mpaka mahakama iwe na uhuru zaidi sio kama sasa serikali inaweza kubana vyama msi support ubanaji wa vyama maana kesho na kesho kutwa hata CCM inaweza kuwa na vyama viwili na mlinzi wenu atakuwa mahakama. Jiulizeni je CCM ikivunjika leo halafu usiruhusiwe kuingia na kuwa mwanachama utafanya nini kama sheria ndiyo hizi hivyo mwangalie mbali mahakama huru na yenye nguvu ni muhimu kwa strategy yenu
Njia rahisi kwa Magu na wanaomuunga mkono kama kweli anaamini ana nguvu za mabadiliko na ana support ya Watanzania ni kuanzisha Chama kingine cha siasa. Hii itakuwa rahisi kwasababu wote watakuwa na agenda na lengo moja.
Kwa sasa CCM sio moja kuna wengi walioajiriwa na kutajirika na chama, kuna ambao wanataka kuacha watoto zao huko, kuna wana urafiki na kibaya zaidi wote hawa wana nafasi kubwa ndani ya CCM.
Hivyo hawafukiziki kirahisi, ni wengi na wale wanao support sana kama Mwinyi, Mkapa, Msekwa, Msuya wataondoka na kukuacha na vijana wenye uchu wa madaraka ambao ni wakina Nape, Mwigulu, Bashe, Makamba, Jofa na Makamba.
Hivyo kama kweli unataka kuleta maendeleo hutaweza kubadilisha yote CCM anza upya tu. Kwasababu sasa hivi ukisema lolote baya kwa mzee yoyote ana uwezo wa kuleta matatizo kwenye chama maana ana wafuasi.
Tatizo lingine wafuasi wako sio wengi ndani ya CCM kuliko wafuasi wengine wote na vikundi vyote pamoja ndani ya CCM.
Huyo Dr kamshidwa Membe je atawaweza Makamba, Kinana, Membe, Nape .... na wengine wote.
Kwa vijana wa CCM nawashauri sana hamtakuwa na nafasi mpaka mahakama iwe na uhuru zaidi sio kama sasa serikali inaweza kubana vyama msi support ubanaji wa vyama maana kesho na kesho kutwa hata CCM inaweza kuwa na vyama viwili na mlinzi wenu atakuwa mahakama. Jiulizeni je CCM ikivunjika leo halafu usiruhusiwe kuingia na kuwa mwanachama utafanya nini kama sheria ndiyo hizi hivyo mwangalie mbali mahakama huru na yenye nguvu ni muhimu kwa strategy yenu