mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,704
Mkuu huo utaratibu umewekwa na watu kwa utaratibu wa kumpata mgombea Urais wa ccm 2015 ndio ule? Watanzania sio Wajinga mkuu , Kwani uliamini Lowassa huyu angeweza kubembelezwa na ccm arudi ccm? Unaukumbuka ule wimbo aliyoimbiwa Lowassa dodoma? Unakumbuka hotuba ya Mwenyekiti baada ya kukabidhiwa uongozi Dodoma?Watoto ni wengi humu jf hadi kero!.
Hawajui kuwa CCM tayari inao utaratibu wake wa ndani, hakuna fomu yoyote ya urais itatolewa kwa mwana CCM yeyote zaidi ya the seating one.
P.
Huyo Kanjanja Pascal Mayalla anadhani ana hati miliki ya ujuvi wa siasa za Tanzania. Haha.Mkuu huo utaratibu umewekwa na watu kwa utaratibu wa kumpata mgombea Urais wa ccm 2015 ndio ule? Watanzania sio Wajinga mkuu , Kwani uliamini Lowassa huyu angeweza kubembelezwa na ccm arudi ccm? Unaukumbuka ule wimbo aliyoimbiwa Lowassa dodoma? Unakumbuka hotuba ya Mwenyekiti baada ya kukabidhiwa uongozi Dodoma?
Sent using Jamii Forums mobile app
Binafsi nilishaongea jukwaa la siasa sasa limekuwa jukwaa la propaganda! watu wakunywa Double Kick wanakuja kupost habari za kipuuzi na kama wakina Prof; kitila, Makamba, Kingwangala na Mwigulu tumewapoteza basi sitoshangaa kama Mayala naye atatukimbia! Imekuwa zaidi ya Ffacebook jamani mpaka inaboa..! na watu wanaolipwa ndiyo wanatuharibia jukwaa.Watoto ni wengi humu jf hadi kero!.
Hawajui kuwa CCM tayari inao utaratibu wake wa ndani, hakuna fomu yoyote ya urais itatolewa kwa mwana CCM yeyote zaidi ya the seating one.
P.
Mambo ni mengi na muda ni kiduchu. Vibweka kila mahali mchana na usiku.
Ndugu Lowasa jana kasema hana nia ya kugombea urais tena, na hivyo tumuunge mkono Rais Magufuli mpaka mwaka 2020 kisha tumchague tena kwa awamu ya pili.
Huyu Eddo akibadilisha gia angani na kuchuana na Magufuli 2020 ni nani atamzuia??
Sina shaka kwamba akithubutu kuchuana na Magufuli CCM watamfyekelea mbali ili apishe njia bulldozer lipite! Lakini who knows, huyu morani alivyo mbishi kama dagaa anaweza kugangamara tu potelea mbali akichinjwa. Hajali.
Kama alisema hataondoka CHADEMA na hatimaye kaondoka, tunawezaje kuamini kuwa hatogombea tena hata kama amesema hatogombea??
akijichanganya kuweka jina yake awamu hii haitakatwa jina yake pekee bali atakatwa yeye
Kuhusu "utoto" hapo unawaonea na kutaka kuwafunika gubigubi kwa shuka la mchunga ng'ombe.Hivi ni utaratibu usio kwenye maandishi waliojiwekea CCM au ni sheria?Kama ni sheria,ina maana inapingana na sheria mama ya nchi?Watoto ni wengi humu jf hadi kero!.
Hawajui kuwa CCM tayari inao utaratibu wake wa ndani, hakuna fomu yoyote ya urais itatolewa kwa mwana CCM yeyote zaidi ya aliyepo.
Ha ha ha hiyo sio picha ni jinamizi la kutisha sana.Ile sheria ya Msajili wa vyama vya siasa ikifanya kazi Lowassa atapita..wacheze tu vyema na msajili hapo ndio watajua sheria ni msumeno
Msajili anamfuta Magufuli then Lowassa anashika usukani, Picha linaisha
Basi tu ilimradi kujaza nyuzi za hovyo jukwaani na kulipotezea hadhi jukwaaWatoto ni wengi humu jf hadi kero!.
Hawajui kuwa CCM tayari inao utaratibu wake wa ndani, hakuna fomu yoyote ya urais itatolewa kwa mwana CCM yeyote zaidi ya aliyepo.
Mambo ni mengi na muda ni kiduchu. Vibweka kila mahali mchana na usiku.
Ndugu Lowasa jana kasema hana nia ya kugombea urais tena, na hivyo tumuunge mkono Rais Magufuli mpaka mwaka 2020 kisha tumchague tena kwa awamu ya pili.
Huyu Eddo akibadilisha gia angani na kuchuana na Magufuli 2020 ni nani atamzuia??
Sina shaka kwamba akithubutu kuchuana na Magufuli CCM watamfyekelea mbali ili apishe njia bulldozer lipite! Lakini who knows, huyu morani alivyo mbishi kama dagaa anaweza kugangamara tu potelea mbali akichinjwa. Hajali.
Kama alisema hataondoka CHADEMA na hatimaye kaondoka, tunawezaje kuamini kuwa hatogombea tena hata kama amesema hatogombea??
Na hata ikitolewa mwenye ubavu wa kuichukua ni nani??Watoto ni wengi humu jf hadi kero!.
Hawajui kuwa CCM tayari inao utaratibu wake wa ndani, hakuna fomu yoyote ya urais itatolewa kwa mwana CCM yeyote zaidi ya aliyepo.
Akitaka kugombea anarudi CHADEMA anawateka anagombea. Maana anawajua sana dawa yenu, ni kupenyeza rupia nyote chaliiiiiiii! manaanza kudeki lami basi.Mambo ni mengi na muda ni kiduchu. Vibweka kila mahali mchana na usiku.
Ndugu Lowasa jana kasema hana nia ya kugombea urais tena, na hivyo tumuunge mkono Rais Magufuli mpaka mwaka 2020 kisha tumchague tena kwa awamu ya pili.
Huyu Eddo akibadilisha gia angani na kuchuana na Magufuli 2020 ni nani atamzuia??
Sina shaka kwamba akithubutu kuchuana na Magufuli CCM watamfyekelea mbali ili apishe njia bulldozer lipite! Lakini who knows, huyu morani alivyo mbishi kama dagaa anaweza kugangamara tu potelea mbali akichinjwa. Hajali.
Kama alisema hataondoka CHADEMA na hatimaye kaondoka, tunawezaje kuamini kuwa hatogombea tena hata kama amesema hatogombea??
Hahahaa...Akitaka kugombea anarudi CHADEMA anawateka anagombea. Maana anawajua sana dawa yenu, ni kupenyeza rupia nyote chaliiiiiiii! manaanza kudeki lami basi.