Wazo la leo:

Wazo la leo:

Mimi na swali la kizushi tu mleta thread. Hizo pesa kwenu mnazo?
 
sa mbona wenye sura mbaya ndo munawawowa halafu sura nzuri munawatumia?japo umesema kweli
 
Umaskini mubaya! Ndamuwene munyasala yikwigonga yikwiyandika iyena nige nene yoyoyo na isule nguileka!

Kwel pesa mwanakharamu!
 
Mwanamke ni sura,tabia tutakosoa,mwanaume ni pesa,sura tutavumilia.
You are very right kama unazungumzia uhusiano wa U-girl friend/U-boy friend, Kutoka pamoja, kampani nk. Lakini kwenye mahusiano ya mke/mume, kwangu naona ni Big No!!!
Waswahili wanakwambia tabia haina dawa, tabia si somo la darasani, useme utakosoa mtu atabadilika, jaribu uone kama hautakufa kwa stress!
 
Back
Top Bottom