MLUGURU
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 3,036
- 3,966
Hip hop celebrities wanazid kupata kile wanachotaka,baada ya trak kama 2030 sasa msanii mwingine hatari wa game hili STAMINA aka kabwela mwenye kitambi karelease hit huku ngosha tha don kasimama kwenye chorus,
Stamina kaandika Punch hatari na za kustaajabisha kama vile"life ngumu mpaka kidonda ombaomba kafanya mtaji"
wadau mnasemaje kuhusu ujio wa huyu kabwela
Stamina kaandika Punch hatari na za kustaajabisha kama vile"life ngumu mpaka kidonda ombaomba kafanya mtaji"
wadau mnasemaje kuhusu ujio wa huyu kabwela