Masalu Jacob
JF-Expert Member
- Jul 26, 2017
- 1,339
- 1,493
Habari Tanzania !
Napenda niwe mshauri wenu kwa hawa vijana.
Ikiwapendeza, anzisheni taasisi mpya kutoka moja kwa moja Wizara ya Fedha iitwe " VIJANA TAIFA BANK". Hii taasisi iwe maalumu kwa kuweka na kuwakopesha vijana waweze kuwekeza kwenye miradi na biashara mbalimbali hapa nchini na ikiwezekana hadi nchi za nje.
Hii taasisi ifungue matawi mpaka ngazi ya Kata hapa nchini; lengo ni kuweza kuwafikia Vijana wote wa Taifa hili kwa uharaka na uhakika.
Hizo pesa zenu za Halmashauri mnazozipotezaga huko; ziwekeni humo (Vijana Taifa Bank) fedha zote na nyinyi Wizara mtie hela humo za kutosha yaani hata Bajeti yenu kabla ya kuipeleka Bungeni itisheni kikao na viongozi wa Vijana Taifa wawape mapendekezo yao ndio mkawazungumzie huko Bungeni.
Hitimisho
Ikiwapendeza hiyo taasisi iendeshwe na Vijana toka Vyuo Vikuu tu. Lengo hawa vijana watumike kikamilifu hasa kulitumikia taifa.
Karibu.
Napenda niwe mshauri wenu kwa hawa vijana.
Ikiwapendeza, anzisheni taasisi mpya kutoka moja kwa moja Wizara ya Fedha iitwe " VIJANA TAIFA BANK". Hii taasisi iwe maalumu kwa kuweka na kuwakopesha vijana waweze kuwekeza kwenye miradi na biashara mbalimbali hapa nchini na ikiwezekana hadi nchi za nje.
Hii taasisi ifungue matawi mpaka ngazi ya Kata hapa nchini; lengo ni kuweza kuwafikia Vijana wote wa Taifa hili kwa uharaka na uhakika.
Hizo pesa zenu za Halmashauri mnazozipotezaga huko; ziwekeni humo (Vijana Taifa Bank) fedha zote na nyinyi Wizara mtie hela humo za kutosha yaani hata Bajeti yenu kabla ya kuipeleka Bungeni itisheni kikao na viongozi wa Vijana Taifa wawape mapendekezo yao ndio mkawazungumzie huko Bungeni.
Hitimisho
Ikiwapendeza hiyo taasisi iendeshwe na Vijana toka Vyuo Vikuu tu. Lengo hawa vijana watumike kikamilifu hasa kulitumikia taifa.
Karibu.